otherwise aje alipe ushuru wa kulitembelea nchini afu arudi nalo alikolitoa la sivyo kodi kodi kodi kodiBaba, uagize au ujenalo au upewe zawadi Taratibu ni zile zile. Fanya inspection huko huko, Tafuta carrier alibebe hadi bongo. Wakabidhi Clearing Agents Documents wafanyekazi. Lipia Dues na Duties zote. Hata kama gari umepewa bure ujue lazima watatumia Current value ya market kwa wakati huo.
Mambo ni mengi. Ila hakuna step ya kuskip hata moja
otherwise aje alipe ushuru wa kulitembelea nchini afu arudi nalo alikolitoa la sivyo kodi kodi kodi kodi
Mkuu mfano nina gari yangu ambayo nimekuwa nikiitumia South Africa na nikataka niifute usajili sauzi nije nayo Tanzania kwa kuiendesha na niisajili. Gharama nitakazolipa TRA ni sawa na za mtu anayeagiza gari kama hiyo toka nchi kama Japan?Baba, uagize au ujenalo au upewe zawadi Taratibu ni zile zile. Fanya inspection huko huko, Tafuta carrier alibebe hadi bongo. Wakabidhi Clearing Agents Documents wafanyekazi. Lipia Dues na Duties zote. Hata kama gari umepewa bure ujue lazima watatumia Current value ya market kwa wakati huo.
Mambo ni mengi. Ila hakuna step ya kuskip hata moja
Tuelekeze kiongoziHakuna tofauti sana. Hata ukiagiza gari kutoka nchi za ulaya na kutoka japani huwa kuna utofauti.
Dawa ni ndogo, ile gari ina kadi yake yake kule, unaweza kuitumia kujua gharama kiasi gani, ukishindwa mwambie aipige picha then Mpe agent yoyote atakupigia hesabu