DOKEZO TRA hawatumii mifumo ya IQS kujibu Clearing Agent

DOKEZO TRA hawatumii mifumo ya IQS kujibu Clearing Agent

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

toure

Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
29
Reaction score
44
Naomba tufikishie kilio chetu sisi maagent wafanyakazi wa TRA ukienda floor namba 10 utakuta foleni kama wanangoja mwendokasi kupata huduma, wakati kuna mfumo upo kwa system ingesaidia kumaliza kero labda kama kuna case ya kuonana.

Hii imepelekea walio na maofisi mbali na One stop center kupata kadhia ya umbali na kama haitoshi kwanini turudi mfumo wa kizamani?

Kwa namna hii hao DP World watakuja kufanya nini kama kazi zenyewe kufatilia manual?
 
Naomba tufikishie kilio chetu sisi maagent wafanyakazi wa TRA ukienda floor namba 10 utakuta foleni kama wanangoja mwendokasi kupata huduma, wakati kuna mfumo upo kwa system ingesaidia kumaliza kero labda kama kuna case ya kuonana.

Hii imepelekea walio na maofisi mbali na One stop center kupata kadhia ya umbali na kama haitoshi kwanini turudi mfumo wa kizamani?

Kwa namna hii hao DP World watakuja kufanya nini kama kazi zenyewe kufatilia manual?
mhh maagent wafanyakazi wa tra ndiyo nini toure? mbona tra wanamifumo siku hizi huna haja ya kwenda ofisini kwao? kwani sikuna tancis kila kitu unakiona ukiwa na internet , sasa unataka kwenda ofisi za watu kufanya nini?au ni kishoka mjomba.mimi mbona washikaji zangu huwa wanaagiza magari na hukuti wakala wao akihangaika kwenda forodha naona wanasema tu tansad namba tayari tuma pesa bank gepg mara release tayari haoo tunaenda bandarini toa gari.Huu mfumo mbona mh Kikwete ndiyo alizinduaga na ndiyo ulimsaidia Marehemu Magufuli kuona makontena yaliyopotea maana kila kitu unaona ukiwa kwenye kompyuta yako ofisini.Labda kama huyo wakala ni kishoka maana siku hizi mifumo ya serikali huna haja ya kwenda angalia hata Brela ,TBS.
 
Naomba tufikishie kilio chetu sisi maagent wafanyakazi wa TRA ukienda floor namba 10 utakuta foleni kama wanangoja mwendokasi kupata huduma, wakati kuna mfumo upo kwa system ingesaidia kumaliza kero labda kama kuna case ya kuonana.

Hii imepelekea walio na maofisi mbali na One stop center kupata kadhia ya umbali na kama haitoshi kwanini turudi mfumo wa kizamani?

Kwa namna hii hao DP World watakuja kufanya nini kama kazi zenyewe kufatilia manual?
Mfumo wa IQS unatumika kujibu wateja pale kunapokuwa na uhitaji wa taarifa za ziada ili kuweza kufanya uthaminishaji wa mzigo husika. Wateja wengi wamekuwa hawaangalii taarifa walizoombwa kwenye iqs mapema na kutoa majibu kwa wakati.
Wateja wengi wanaokuja kufuatilia kadhia zao ni wale waliochelewa kuanza taratibu za ugombozi na tayari mizigo inakuwa imefika hivyo huwalazimu kukimbizana na muda.

Wapo wachache ambao inakuwa ni lazima waJe kwa ajili ya kufanya mahojiano na afisa ili kupata taarifa sahihi.
Tunawahimiza wateja watumie mfumo wa iqs ama barua pepe kwa ajili ya kufanya mawasiliano pale wanapokuwa wanafuatilia uthaminishaji wa mizigo yao.
 
Naomba tufikishie kilio chetu sisi maagent wafanyakazi wa TRA ukienda floor namba 10 utakuta foleni kama wanangoja mwendokasi kupata huduma, wakati kuna mfumo upo kwa system ingesaidia kumaliza kero labda kama kuna case ya kuonana.

Hii imepelekea walio na maofisi mbali na One stop center kupata kadhia ya umbali na kama haitoshi kwanini turudi mfumo wa kizamani?

Kwa namna hii hao DP World watakuja kufanya nini kama kazi zenyewe kufatilia manual?
Huduma za manual mara nyingi zinaruhusu sarakasi za kipuuzi
 
Huduma za manual mara nyingi zinaruhusu sarakasi za kipuuzi
ukiangalia maelezo ya tra tosha kuwa kumbe hakuna huduma za manual hapo ni watu delay yao nilitaka kushangaa manual tena imerudi lini watu tunaenda mbele na mifumo sasa hivi ya serikali inasomana na kurahisisha huduma.sema wabongo tunapenda mpaka ufike ofisini ndiyo unaona umehudumiwa
 
Mfumo wa IQS unatumika kujibu wateja pale kunapokuwa na uhitaji wa taarifa za ziada ili kuweza kufanya uthaminishaji wa mzigo husika. Wateja wengi wamekuwa hawaangalii taarifa walizoombwa kwenye iqs mapema na kutoa majibu kwa wakati.
Wateja wengi wanaokuja kufuatilia kadhia zao ni wale waliochelewa kuanza taratibu za ugombozi na tayari mizigo inakuwa imefika hivyo huwalazimu kukimbizana na muda.

Wapo wachache ambao inakuwa ni lazima waJe kwa ajili ya kufanya mahojiano na afisa ili kupata taarifa sahihi.
Tunawahimiza wateja watumie mfumo wa iqs ama barua pepe kwa ajili ya kufanya mawasiliano pale wanapokuwa wanafuatilia uthaminishaji wa mizigo yao.
Ninaomba kufahamu.
Agent anawezaje kuskip baadhi ya taarifa kwenye mfumo huo? Je hizo taratibu zinaruhusuje mtu kupata token ya kufika ofisini kukamilisha wakati hajamalizia kujaza inquiries?

Online forms kama zipo printable kisha zijazwe hapo tunakuwa hatujafanya lolote. Nashauri mjitathmini utendaji wenu kwa sababu sisi walipakodi tunaona kama mnatupotezea muda mwingi ilimradi muonekane mnafanyakazi wakati kwetu muda ni mtaji.

Nifafanulie pls
 
ukiangalia maelezo ya tra tosha kuwa kumbe hakuna huduma za manual hapo ni watu delay yao nilitaka kushangaa manual tena imerudi lini watu tunaenda mbele na mifumo sasa hivi ya serikali inasomana na kurahisisha huduma.sema wabongo tunapenda mpaka ufike ofisini ndiyo unaona umehudumiwa
Kuna mapengo kwenye majibu ya TRA.

Kwanza najivunia namna walivyoweza kurespond kwa wakati.

Swali nimeuliza post namba 6
 
Mfumo wa IQS unatumika kujibu wateja pale kunapokuwa na uhitaji wa taarifa za ziada ili kuweza kufanya uthaminishaji wa mzigo husika. Wateja wengi wamekuwa hawaangalii taarifa walizoombwa kwenye iqs mapema na kutoa majibu kwa wakati.
Wateja wengi wanaokuja kufuatilia kadhia zao ni wale waliochelewa kuanza taratibu za ugombozi na tayari mizigo inakuwa imefika hivyo huwalazimu kukimbizana na muda.

Wapo wachache ambao inakuwa ni lazima waJe kwa ajili ya kufanya mahojiano na afisa ili kupata taarifa sahihi.
Tunawahimiza wateja watumie mfumo wa iqs ama barua pepe kwa ajili ya kufanya mawasiliano pale wanapokuwa wanafuatilia uthaminishaji wa mizigo yao.
Ohoo kumbe mpo active
 
Ninaomba kufahamu.
Agent anawezaje kuskip baadhi ya taarifa kwenye mfumo huo? Je hizo taratibu zinaruhusuje mtu kupata token ya kufika ofisini kukamilisha wakati hajamalizia kujaza inquiries?

Online forms kama zipo printable kisha zijazwe hapo tunakuwa hatujafanya lolote. Nashauri mjitathmini utendaji wenu kwa sababu sisi walipakodi tunaona kama mnatupotezea muda mwingi ilimradi muonekane mnafanyakazi wakati kwetu muda ni mtaji.

Nifafanulie pls
hicho hasa naona ndicho kinacholeta foleni sababu kama mtu hajafata taratibu anaenda ofisini ndiyo wanaambiwa wafate taratibu na utakuta kwa sababu zilivyoelezwa hapo na tra kuwa wamechelewa ndiyo inaonyesha wanajazana kufosi na pengine ndiyo hao wanaolalamika . Mimi sioni sababu za kuchelewa na kutaka kwenda ofisini wakati mtandao upo situfate tu utaratibu kwanza unapunguza kupoteza muda na kusumbuka.nachokiona ni hao wanaochelewa kutaka kulazimishia wafate nje ya utaratibu sasa wameshindwa ndiyo hoja imekuja , mimi naomba tra waendelee kukaza hivi hivi inapunguza hata mambo ya rushwa .
 
hicho hasa naona ndicho kinacholeta foleni sababu kama mtu hajafata taratibu anaenda ofisini ndiyo wanaambiwa wafate taratibu na utakuta kwa sababu zilivyoelezwa hapo na tra kuwa wamechelewa ndiyo inaonyesha wanajazana kufosi na pengine ndiyo hao wanaolalamika . Mimi sioni sababu za kuchelewa na kutaka kwenda ofisini wakati mtandao upo situfate tu utaratibu kwanza unapunguza kupoteza muda na kusumbuka.nachokiona ni hao wanaochelewa kutaka kulazimishia wafate nje ya utaratibu sasa wameshindwa ndiyo hoja imekuja , mimi naomba tra waendelee kukaza hivi hivi inapunguza hata mambo ya rushwa .
Yes yes yes
TRA Tanzania wanapaswa kuangalia upya mfumo na kuuweka ktk mode ya kutoweza kujaza fomu zinazofuata kama mhusika hajajaza vipengele vyote muhimu kwenye fomu ya mwanzo.

Inawezekana, sisi wateja ndiyo tunashawishi rushwa kwa sababu ya uzembe wa makusudi wa kutofuata vigezo. Efficiecy ya kukusanya kodi ikiendana na kuokoa muda itawapa mamlaka kushughulikia mambo mengine ya msingi kwa wakati.

Naheshimu sana utaratibu. bila utaratibu hakuna ufanisi
 
Back
Top Bottom