TRA inawakumbusha walipa kodi kuwasilisha ritani na kufanya malipo ya kodi za zuio, PAYE na SDL kwa mwezi Januari 2025

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
Mamlaka ya mapato Tanzania inawakumbusha walipa kodi kuwasilisha ritani na kufanya malipo ya kodi ya zuio, PAYE na SDL kwa mwezi Januari 2025 kabla au mnamo Februari 7, 2025.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…