mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
1. VAT
Kama robo mwaka turn over yako ni zaidi ya RMB 300,000 (TZS 100mil+) tax rate ni 1% otherwise no VAT
2. PROFIT TAX
Kama profit yako ni zaidi ya RMB 3mil (TZS 1bil +) tax rate ni 25% chini ya hapo utalipa tax rate ya 5%
3. PERSONAL INCOME TAX
Kama mshahara wako kwa mwezi ni RMB 10,000 (TZS 3mil+) tax rate ni RMB 290
Kwanini TRA wasijifunze kuweka aina za kodi rafiki kama hizi ili watu wengi wavutike na kushawishika kulipa kodi?
Nchi yetu ni maskini lakini mzigo wa kodi kubwa kwa mwananchi haimaanishi kufanya nchi iendelee, bali tukiwa na kodi rafiki tukaongeza walipa kodi watu wengi watajitokeza kulipa kodi na nchi itasonga kwa kasi na hapatakua na ukwepaji wa kodi kama ilivyo sasa.
Kama robo mwaka turn over yako ni zaidi ya RMB 300,000 (TZS 100mil+) tax rate ni 1% otherwise no VAT
2. PROFIT TAX
Kama profit yako ni zaidi ya RMB 3mil (TZS 1bil +) tax rate ni 25% chini ya hapo utalipa tax rate ya 5%
3. PERSONAL INCOME TAX
Kama mshahara wako kwa mwezi ni RMB 10,000 (TZS 3mil+) tax rate ni RMB 290
Kwanini TRA wasijifunze kuweka aina za kodi rafiki kama hizi ili watu wengi wavutike na kushawishika kulipa kodi?
Nchi yetu ni maskini lakini mzigo wa kodi kubwa kwa mwananchi haimaanishi kufanya nchi iendelee, bali tukiwa na kodi rafiki tukaongeza walipa kodi watu wengi watajitokeza kulipa kodi na nchi itasonga kwa kasi na hapatakua na ukwepaji wa kodi kama ilivyo sasa.