TRA kama hamtaki walipa kodi wapya semeni

TRA kama hamtaki walipa kodi wapya semeni

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Kuna kitu naeza ita ni upuuzi au uzembe uliopitiliza. Nina mwezi sasa nafanya online TIN aplication lakini mtandao unasumbua. Kila nikifanya naambiwa failed to retrive data. Nimeenda ofisi zao labda naweza kupata msaada cha ajabu wananiambia hawawezi kunisaidia maana mtandai uko chini.

Hii kitu ina kera sana. Yani mwezi mzima mtandao unakua wa kuvizia? Kama hamkujiandaa kuingia kwenye digital basi mngetuacha kulekule kwenye analogy tukawa tunafanya manual applications.

Mnakera, mnakera, mnakera
 
Huwezi kuwatenganisha TRA na ubabaishaji/ubwenyenye. Wanapenda sana mteja uwafuate ofisini kwao na kupanga foleni.

Hebu fikiria hata contol number ya kulipia kodi, na ambayo wangeweza kukutumia kupitia sms; unatakiwa kwenda kuichukua ofisini kwao. Ukijisahau, ukachelewa kulipa hoyo kodi hata kwa siku kadhaa! watakutishia au hata kukupiga kabisa penati!
 
Huwezi kuwatenganisha TRA na ubabaishaji/ubwenyenye. Wanapenda sana mteja uwafuate ofisini kwao na kupanga foleni.

Hebu fikiria hata contol number ya kulipia kodi, na ambayo wangeweza kukutumia kupitia sms; unatakiwa kwenda kuichukua ofisini kwao. Ukijisahau, ukachelewa kulipa hoyo kodi hata kwa siku kadhaa! watakutishia au hata kukupiga kabisa penati!
Aisee nimekereka sana. Yani mwez mzima mtandao unasumbua? Alaf kuna watu wa IT wanalipwa mishahara. Bad enough they dont have alternative means of solving this minor problem. Ujinga ujinga tu
 
Kuna kitu naeza ita ni upuuzi au uzembe uliopitiliza. Nina mwezi sasa nafanya online TIN aplication lakini mtandao unasumbua. Kila nikifanya naambiwa failed to retrive data. Nimeenda ofisi zao labda naweza kupata msaada cha ajabu wananiambia hawawezi kunisaidia maana mtandai uko chini.

Hii kitu ina kera sana. Yani mwezi mzima mtandao unakua wa kuvizia? Kama hamkujiandaa kuingia kwenye digital basi mngetuacha kulekule kwenye analogy tukawa tunafanya manual applications.

Mnakera, mnakera, mnakera
Chama dhaifu na utawala usiokidhi viwango ndio chanzo cha yote haya.
Nchi inatawaliwa na uongo na watu wanauishi uwongo.

Soon utasikia makusanyo kwa robo ya mwisho mwisho wa mwaka 2022 ilikuwa ni trillioni mia tano, mama anaupiga mwingi.

Jiulize chama cha mapinduzi kilipindua nini?

Mambo yaleyale ya Tanu tangu tunapata uhuru hayajabadilika hadi leo
 
Back
Top Bottom