A
Anonymous
Guest
Ofisi za TRA Temeke zote ni jipu la kutumbuka kabisa ninafatilia kuchange tin number location kutoka Temeke kwenda Ilala huu sasa ni mwezi wa tatu tangu tarehe 19/12/2025 mpaka sasa sijapata kufanikiwa
Nilianzia ofisi kuu ya kanda Temeke Banda la Ngozi pale nikazungushwa na online nimefanya kila kitu mpaka ID number nimepata nimeandika barua na imejibiwa kimbembe sasa kikawa kwa huyo ambae ndo anatakiwa amalize hiyo process yeye, aisee yule jamaa Mungu anajua la kumfanya amenikwamisha sana na sana hajawahi fanya hilo zoezi mwisho wa siku ananiambia nenda Mbagala ndo branch uliyosajilia
Nikaenda Mbagala nikafanya process upya ya kuandika tena barua cause online nilishafanya aisee nako Mbagala ni yale yale, huku sasa kuna mwanamke naomba mpaka kwenda kwa meneja nijue kwanini wananiambia tu kazi inafanyiwa lakini haiamishwi na kodi yangu ya pango la biashara inazidi kwisha bila biashara kufungua kwa ajili ya TRA Tanzania hawataki kuchange hii tin location.
Nilianzia ofisi kuu ya kanda Temeke Banda la Ngozi pale nikazungushwa na online nimefanya kila kitu mpaka ID number nimepata nimeandika barua na imejibiwa kimbembe sasa kikawa kwa huyo ambae ndo anatakiwa amalize hiyo process yeye, aisee yule jamaa Mungu anajua la kumfanya amenikwamisha sana na sana hajawahi fanya hilo zoezi mwisho wa siku ananiambia nenda Mbagala ndo branch uliyosajilia
Nikaenda Mbagala nikafanya process upya ya kuandika tena barua cause online nilishafanya aisee nako Mbagala ni yale yale, huku sasa kuna mwanamke naomba mpaka kwenda kwa meneja nijue kwanini wananiambia tu kazi inafanyiwa lakini haiamishwi na kodi yangu ya pango la biashara inazidi kwisha bila biashara kufungua kwa ajili ya TRA Tanzania hawataki kuchange hii tin location.