Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nnachokijua kodi hukatwa kwenye income(faida) na huwa kodi inakatwa baada ya kukaguliwa vitabu vya kutoka kwa wakaguzi wa mahesabu(auditors) lakini kodi pia hukatwa kwa kuangalia mauzo yako(annual turnover) hii ni kwa wale ambao hawaandai financial statement, na mauzo yao kwa mwaka hayazidi 20 mill ........kwa hiyo hilo swala la kukatwa kodi mwanzoni ni jipya kidogo kwangu labda naomba ufafanuziMimi nina swali, kwanini TRA lazima uwalipe kodi kabla ujaanza biashara? wanajuaje utapata faida kiasi gani ndani ya mwaka?