Ukifika TRA unakuta na mizigo mingi sana kwa mfano TRA pale Longroom pamekua kama godwn la kuhifadhia mizigo,ukiangalia pale Kuna mizigo ya Congo,Rwanda,Burundi,Zimbabwe,Malawi,Zambia nk..ukiuliza wanakwambia hii ni mizigo tumeikamata haikua na Efd machine.
Nikamuuliza mmoja wao je hii mizigo ni magendo akasema hapana.Nikamuuliza mnajua Kuna mzimbabwe yupo alituma Dola zake apelekewe Mzigo wake?.
Jamaa confidently akajibu tunajua.Nikamwuliza unajua hapa Kuna watu wapo dukani mkoani huko wakiusubiri huu Mzigo?.Pia Nikamuuliza hii mizigo Huwa mnaibeba kama vielelezo mahakamani? Akesema hapana? Nilikasirika nikasema nyie ni wapuuzi kwa Nini uhangaike na Mzigo ambao sio ushahidi?.
Swali la Mwisho nilimwuliza ni kama hawaoni kama wanawakatisha tamaa wageni kuja Tanzania na kusababisha tukose wateja hao wanakuja kupunguza bidhaa za kichina na zetu na pia tunakosa pesa za kigeni akanijubu simple tu kuwa huo ndio utaratibu wao wa kazi.
Kwa mtazamo wangu naona hatuendi na wakati na tunatengeneza mianya ya Rushwa na ukandamizaji tu.Kwani usirekodi kosa na kuchukua maelezo na kuruhusu bidhaa ziende sokoni badala ya kurundika TRA na nyingine zinaozea pale tu.
Hoja ya Efd ni mfu kwa kwa machine sio kipimo sahihi cha mauzo na Wala sio kipimo Cha kipato.
I stand to be corrected.
Nikamuuliza mmoja wao je hii mizigo ni magendo akasema hapana.Nikamuuliza mnajua Kuna mzimbabwe yupo alituma Dola zake apelekewe Mzigo wake?.
Jamaa confidently akajibu tunajua.Nikamwuliza unajua hapa Kuna watu wapo dukani mkoani huko wakiusubiri huu Mzigo?.Pia Nikamuuliza hii mizigo Huwa mnaibeba kama vielelezo mahakamani? Akesema hapana? Nilikasirika nikasema nyie ni wapuuzi kwa Nini uhangaike na Mzigo ambao sio ushahidi?.
Swali la Mwisho nilimwuliza ni kama hawaoni kama wanawakatisha tamaa wageni kuja Tanzania na kusababisha tukose wateja hao wanakuja kupunguza bidhaa za kichina na zetu na pia tunakosa pesa za kigeni akanijubu simple tu kuwa huo ndio utaratibu wao wa kazi.
Kwa mtazamo wangu naona hatuendi na wakati na tunatengeneza mianya ya Rushwa na ukandamizaji tu.Kwani usirekodi kosa na kuchukua maelezo na kuruhusu bidhaa ziende sokoni badala ya kurundika TRA na nyingine zinaozea pale tu.
Hoja ya Efd ni mfu kwa kwa machine sio kipimo sahihi cha mauzo na Wala sio kipimo Cha kipato.
I stand to be corrected.