TRA mfumo wenu mpya wa leseni kimtandao unafanya kazi kuwa ngumu badala ya kurahisisha

TRA mfumo wenu mpya wa leseni kimtandao unafanya kazi kuwa ngumu badala ya kurahisisha

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Kupitia mfumo mpya wa kuomba leseni za undeshaji magari, mambo yanaonekana kuwa magumu badala ya rahisi. Unapohitaji leseni kwajili ya kuendesha magari ya abiria na mitambo inakupasa kuhudhuria chuo kilichothibitishwa na serikali, baada ya kutoka chuo, unaenda police kitengo cha usalama barabarani, unawapatia copy ya leseni yako ya awali, barua ya maombi ya kupewa madaraja uliyosomea na copy ya cheti cha kuhitimu mafunzo ya udereva kutoka chuo uliposoma.

Baada ya hapo unatoka kuelekea TRA mpaka hapo process inakuwa ni nzuri ila unapofika TRA, unasajiliwa kwenye mfumo na kulipia madaraja uliyoomba, kila daraja lina gharimu 13000, cha kushangaza ni kwamba badala ya kulipia 39000 kwa madaraja 3, mfumo unataka ulipe 30000 kwa madaraja matatu alafu ukae siku 30 ndio uweze kulipia iyo 90000 iliyobaki, baada ya hapo sasa unaweza kulipia leseni shillingi 70000 na kusubiri tena mpaka pale utapopewa leseni.

Sasa kama lengo la mfumo ilikuwa ni kurahisisha mchakato mzima, kulikuwa na umuhimu gani wa mtu kusubiri siku 30 Ili kulipia iyo elfu 9 wakati ilikuwa ni rahisi tu mtu kulipa 39000 akaongeza gharama za leseni ambayo ni 70000 jumla 109000 ndani ya 2 hours au basi 24 hours mtu anachukua leseni yake?

Je hivi ndivyo mlivyopanga mfumo ufanye kazi au that is just what happened baada ya nyie kutengeneza mfumo??
 
Hizo siku 30 zimewekwa ili uende darasani kusoma, hiyo leseni ya awali ni Learner Driving License. Na hii hata kwa wale wanaomba Leseni mpya kwa mara ya kwanza, lazima walipe Learner waende wakasome, mfumo unaamini kozi za udereva karibia zote zinaisha ndani ya mwezi mmoja.

Zamani kabda ya mfumo, hata hizi learners zilikuwa zinalipwa pia, ila kwasababu watu hawaendi chuo na hakuna sehemu ya ku-control ili jambo, basi siku hiyo hiyo, mtu analipa Learners na siku hiyo hiyo analipia leseni rasmi.

Kinachooneka hapo, wewe umefanya mambo kinyumenyume, au ulipata cheti zamani kabda ya mfumo kuanza kutumika, ila ulichoambiwa ndio utaratibu tangu zamani, lakini ulikuwa hakuna control kwasababu hakuna mfumo rasmi.

Ufumo upo sawa tu, hakuna shortcut, haiwezekani uombe Learner Driving License, na siku hiyo hiyo uombe leseni kamili.
 
Hizo siku 30 zimewekwa ili uende darasani kusoma, hiyo leseni ya awali ni Learner Driving License. Na hii hata kwa wale wanaomba Leseni mpya kwa mara ya kwanza, lazima walipe Learner waende wakasome, mfumo unaamini kozi za udereva karibia zote zinaisha ndani ya mwezi mmoja.

Zamani kabda ya mfumo, hata hizi learners zilikuwa zinalipwa pia, ila kwasababu watu hawaendi chuo na hakuna sehemu ya ku-control ili jambo, basi siku hiyo hiyo, mtu analipa Learners na siku hiyo hiyo analipia leseni rasmi.

Kinachooneka hapo, wewe umefanya mambo kinyumenyume, au ulipata cheti zamani kabda ya mfumo kuanza kutumika, ila ulichoambiwa ndio utaratibu tangu zamani, lakini ulikuwa hakuna control kwasababu hakuna mfumo rasmi.

Ufumo upo sawa tu, hakuna shortcut, haiwezekani uombe Learner Driving License, na siku hiyo hiyo uombe leseni kamili.
Usumbufu tu.
 
Hizo siku 30 zimewekwa ili uende darasani kusoma, hiyo leseni ya awali ni Learner Driving License. Na hii hata kwa wale wanaomba Leseni mpya kwa mara ya kwanza, lazima walipe Learner waende wakasome, mfumo unaamini kozi za udereva karibia zote zinaisha ndani ya mwezi mmoja.

Zamani kabda ya mfumo, hata hizi learners zilikuwa zinalipwa pia, ila kwasababu watu hawaendi chuo na hakuna sehemu ya ku-control ili jambo, basi siku hiyo hiyo, mtu analipa Learners na siku hiyo hiyo analipia leseni rasmi.

Kinachooneka hapo, wewe umefanya mambo kinyumenyume, au ulipata cheti zamani kabda ya mfumo kuanza kutumika, ila ulichoambiwa ndio utaratibu tangu zamani, lakini ulikuwa hakuna control kwasababu hakuna mfumo rasmi.

Ufumo upo sawa tu, hakuna shortcut, haiwezekani uombe Learner Driving License, na siku hiyo hiyo uombe leseni kamili.
Uthibitisho wa cheti kutoka chuo ulichohitimu ungetukimika na TRA kudhitisha kuwa muombaji tayari alishahudhuria mafunzo ya udereva, maana hata kama umekuja na cheti baada ya kutoka chuo bado, utaratibu ni huohuo maana unapokuja kusomea PSV means wewe ni dereva huitaji tena Lerner license, inatakiwa uende chuo ukirudi na cheti process ndo zinaanza hapo. Lerner license wanachukua wale wanaonza mafunzo from scratch, wanaotaka leseni class D.
 
Uthibitisho wa cheti kutoka chuo ulichohitimu ungetukimika na TRA kudhitisha kuwa muombaji tayari alishahudhuria mafunzo ya udereva, maana hata kama umekuja na cheti baada ya kutoka chuo bado, utaratibu ni huohuo maana unapokuja kusomea PSV means wewe ni dereva huitaji tena Lerner license, inatakiwa uende chuo ukirudi na cheti process ndo zinaanza hapo. Lerner license wanachukua wale wanaonza mafunzo from scratch, wanaotaka leseni class D.
Learner License ni kwa dereva yeyote ndio maana umeenda darasani kujifunza chombo husika, kawaida haitakiwi kujifundisha gari kama huna Learner License,sheria ina-assume kama unajifundisha gari, basi lazima utaingia barabarani, sasa unaingiaje barabarani kama hauna leseni yeyote inayokulinda Mkuu,kama ulijifunza bila ya Learner basi ulikuwa kwenye makosa hapo.
 
Hizo siku 30 zimewekwa ili uende darasani kusoma, hiyo leseni ya awali ni Learner Driving License. Na hii hata kwa wale wanaomba Leseni mpya kwa mara ya kwanza, lazima walipe Learner waende wakasome, mfumo unaamini kozi za udereva karibia zote zinaisha ndani ya mwezi mmoja.

Zamani kabda ya mfumo, hata hizi learners zilikuwa zinalipwa pia, ila kwasababu watu hawaendi chuo na hakuna sehemu ya ku-control ili jambo, basi siku hiyo hiyo, mtu analipa Learners na siku hiyo hiyo analipia leseni rasmi.

Kinachooneka hapo, wewe umefanya mambo kinyumenyume, au ulipata cheti zamani kabda ya mfumo kuanza kutumika, ila ulichoambiwa ndio utaratibu tangu zamani, lakini ulikuwa hakuna control kwasababu hakuna mfumo rasmi.

Ufumo upo sawa tu, hakuna shortcut, haiwezekani uombe Learner Driving License, na siku hiyo hiyo uombe leseni kamili.
Mkuu mtu anayetaka kuendesha magari ya abiria nae anaomba learner ya siku 30 halafu ndio apewe C?
 
Mkuu huu utaratibu wa kurudi chuo u some Tena hiyo kozi ya udereva hata kwa mtu mwenye leseni ndogo ya kuendesha gari binafsi? ambayo leseni ya 1 alikuwa nayo na imeisha muda wake anahitaji kurenew? Elimu tafadhari juu ya hili.
 
Mkuu huu utaratibu wa kurudi chuo u some Tena hiyo kozi ya udereva hata kwa mtu mwenye leseni ndogo ya kuendesha gari binafsi? ambayo leseni ya 1 alikuwa nayo na imeisha muda wake anahitaji kurenew? Elimu tafadhari juu ya hili.
Nasikia daraja D na B hawana shida nayo, unarenew tu bila kuleta cheti.
 
Last week nimeingia road na pikipiki wenge nililolipata, najiandaa kwenda darasani. Hivyo nafatilia kwa umakini mkubwa
 
Waombaji wapya wa leseni za udereva hawawezi kupata leseni, mfumo una renew leseni tu zilizopo hai kwa sasa. Je wenye kuhitaji kuongeza madaraja, kuondoa maradaja na kuhuisha madaraja wafanyeje? Lini mfumo utakuwa tayari kufanya kazi?
 
Hao jamaa wiki ya pili saizi system inaniambia application still in progress naona wananitafutia matatizo tu na traffic
 
Back
Top Bottom