Yani kufanya registration tu imegoma. Website lao lipo ovyo sana. Sijui hiyo minada kufanya in real time online watawezaje!
Sent from my Redmi Note 4 using JamiiForums mobile app
Hakuna la maana..IT wao feki kabisa..siku 3 nahangaika na registration inagoma..sehemu ya password yani hikubali...daah IT wa bongo bado sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema IT wa serikali bado sana. Yani hiyo eGA sijui inaajiri straight from college?!Hakuna la maana..IT wao feki kabisa..siku 3 nahangaika na registration inagoma..sehemu ya password yani hikubali...daah IT wa bongo bado sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Website nyingi za serikali ya kujimwambafy ziko hivyoYani kufanya registration tu imegoma. Website lao lipo ovyo sana. Sijui hiyo minada kufanya in real time online watawezaje!
Sent from my Redmi Note 4 using JamiiForums mobile app