TRA Mwanza kuna shida gani?

TRA Mwanza kuna shida gani?

amu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
16,132
Reaction score
31,149
Mnamo tarehe 4 June nililipia sh 70,000 kwa ajili ya driving licence, nikaambiwa nitatumiwa ujumbe mfupi wa maneno nikaifate.

Hadi leo tarehe 30 June sijapata huo ujumbe katikati hapo nilienda kufatilia wakaniambia mashine ya kuprint imeharibika. Ina mana mpaka leo mashine imeharibika?au kuna tatizo jingine mie sifahamu.Naombeni mnisaidie katika hili.

Nimeambatanisha na message ya malipo .

Malipo yamekamilika, Kiasi TSh 70,000 kwenda TRA-Commissioner for Domestic Revenue.

Namba ya malipo: 998417...

3. Jina: ............

Salio jipya: TSh 2,520. Ada: 1,000. VAT TSh 153. Muamala: 16819667. 04/06/22 10:34.
 
Baada ya kulipia ulienda Ofisini kwao kupata Risiti?

Nakumbuka mwaka 2015 niliwahi kulipia mwezi wa Tano nikaitwa kufata Leseni mwezi wa Kumi. Huenda ni zama zinajirudia
 
Baada ya kulipia ulienda Ofisini kwao kupata Risiti?

Nakumbuka mwaka 2015 niliwahi kulipia mwezi wa Tano nikaitwa kufata Leseni mwezi wa Kumi. Huenda ni zama zinajirudia
Hii nchi ni ya hovyo sn. Mtu anawaletea hela bado mnamsumbua. Na ndio anapatia mshahara wake!
Hivi wajuzi leseni imeexpire zaidi ya mwaka huwa wanazingua au ni poa tu. Asanteni.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwenzangu anayepitia haya?
 
Moja kati ya taasisi zinazoupenda sana na kuutumia msemo mkuu wa taasisi zisizotaka shida wala ofisi zisizopenda kubeba jukumu kikamilifu......

Msemo huo ni;

'''SAMAHANI, SYSTEM HAIFANYI KAZI - INASUMBUAA''' Daah!
 
Pole Mkuu ila kwa wajuzi wa mambo tunakushauri

"unyooshe mkono kidogo..........
 
Mnamo tarehe 4 June nililipia sh 70,000 kwa ajili ya driving licence, nikaambiwa nitatumiwa ujumbe mfupi wa maneno nikaifate.

Hadi leo tarehe 30 June sijapata huo ujumbe katikati hapo nilienda kufatilia wakaniambia mashine ya kuprint imeharibika. Ina mana mpaka leo mashine imeharibika?au kuna tatizo jingine mie sifahamu.Naombeni mnisaidie katika hili.

Nimeambatanisha na message ya malipo .

Malipo yamekamilika, Kiasi TSh 70,000 kwenda TRA-Commissioner for Domestic Revenue.

Namba ya malipo: 998417...

3. Jina: ............

Salio jipya: TSh 2,520. Ada: 1,000. VAT TSh 153. Muamala: 16819667. 04/06/22 10:34.
Nakushauri hebu wapigie 0800110016 au 0800780078 nimetoka piga hizo namba muda si mrefu nilikuwa nashida nao na mimi nimemalizana nao wamenisaidia
 
Hii nchi ni ya hovyo sn. Mtu anawaletea hela bado mnamsumbua. Na ndio anapatia mshahara wake!
Hivi wajuzi leseni imeexpire zaidi ya mwaka huwa wanazingua au ni poa tu. Asanteni.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Baada ya miaka 2 Kama huja-renew itatakiwa kuanza process ya kuomba leseni upyaaa.
 
Huo ni uthibitisho kabisa wa wewe kuendelea endesha bila shida
 
Mnamo tarehe 4 June nililipia sh 70,000 kwa ajili ya driving licence, nikaambiwa nitatumiwa ujumbe mfupi wa maneno nikaifate.

Hadi leo tarehe 30 June sijapata huo ujumbe katikati hapo nilienda kufatilia wakaniambia mashine ya kuprint imeharibika. Ina mana mpaka leo mashine imeharibika?au kuna tatizo jingine mie sifahamu.Naombeni mnisaidie katika hili.

Nimeambatanisha na message ya malipo .

Malipo yamekamilika, Kiasi TSh 70,000 kwenda TRA-Commissioner for Domestic Revenue.

Namba ya malipo: 998417...

3. Jina: ............

Salio jipya: TSh 2,520. Ada: 1,000. VAT TSh 153. Muamala: 16819667. 04/06/22 10:34.

Nikishakua na hiyo sms ya uthibitisho wa malipo, sihangaiki nao Tena. Hiyo naitumia kama lesseni tu.
 
Back
Top Bottom