Inawezekana maana SBT walifanya uhuni, walileta magari Mengi kisha wwakayaacha bandarini, mtu ukitaka wanakuuzia kwa bei ndogo bila ushuru, ukitaka kulipia ushuru unakutana na amount kubwa ya storage, pia wageni kutoka Zambia, Malawi Congo na kwingine wakinunua gari wanakutana na storage kubwa, wakalalamika sana mpaka ubalozini kwao, Mjapan akakimbilia Nairobi, ndiyo wakaamuliwa magari yote wayalipie ushuru na storage yatolewe na watafute yard leseni ya biashara na wasajiri kampuni! Bandari siyo show room na kufanyia utaperi.