TRA na Kariakoo kunanini

TRA na Kariakoo kunanini

Scaramanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
490
Reaction score
704
Nimepokea ujumbe toka kwa viongozi wangu wa biashara kuwa jumatatu tunatakiwa tusifungue biasharaeneo la kariakoo. Nimeuliza wenzangu wameniambia kuwa tra juzi walitoa maelekezo ya kujisajili stoo tunazomiliki, kama mtu unayo stoo ya kuhifadhia bidhaa za biashara.nimempigia jamaa yangu kumuuliza kulikoni huko tra kanijibu kuwa ukweli siyo kwamba kuna kulipa kodi kilichopo ni usajili wa stoo hakuna kodi mpya.nimerudi kwenye jumbe nazopokea kuuliza viongozi wanasema ni kodi.sasa nashindwa elewa kama tra wao wanasema siyo kodi ni usajili viongozi wangu mmetoa wapi hii maana nyote kwangu mimi mfanyabiashara nawategemea.nikajiongeza nikapiga hadi simu tra kituo chao cha simu na maswali wameniambia hakuna kitu kama hicho kilichopo ni usajili wa stoo na siyo ulipaji wa kodi.mimi kiukweli ninafamilia inanitegemea na biashara yangu ndiyo mkombozi wangu katika kuishi.nahofia nikifunga biashara yangu nitoe wapi pesa ya kula. kama kusajili tu stoo sioni kama kuna shida mimi nilidhani ni kulipa kodi mpya.
 
Kwanza, hongera kwa kuwa na biashara Kariakoo. Si jambo dogo, lazima uwe mpiganaji.

Pili, za kuambiwa changanya na zako. Ni kwamba kwa sasa wanaanda orodha ya stoo za kuhifadhia mizigo ili wawaandalie utaratibu mzuri wa kuwatoza ushuru. TRA kazi yao ni kukusanya mapato na kutunza kumbukumbu za Walipa kodi. Sasa taarifa za stoo za nini?

Tatu, kulipa kodi ni wajibu. Wapo wafanyabishara wengi wenye stoo wanamaliza biashara huko. Wanaikosesha serikali mapato. Lazima wafanye namna wapate. Tulipe kodi kwa Maendeleo ya Taifa.

Nne, wewe nenda na upepo. Ukiona wenzako baadhi wamefungua nawe fungua. Ukiona kimya, nawe kaa pembeni subiri mgomo uishe. Muda mwingine kuwa wamoja ni jambo la maana hata kama jambo linalofanyika lina ualakini. Kufanya biashara huku wenzako wamekaa tuli, utajijengea chuki.

Tano, nakutakia kila la kheri.
 
Kwanza, hongera kwa kuwa na familia Kariakoo. Si jambo dogo, lazima uwe mpiganaji.

Pili, za kuambiwa changanya na zako. Ni kwamba kwa sasa wanaanda orodha ya stoo za kuhifadhia mizigo ili wawaandalie utaratibu mzuri wa kuwatoza ushuru. TRA kazi yao ni kukusanya mapato na kutunza kumbukumbu za Walipa kodi. Sasa taarifa za stoo za nini?

Tatu, kulipa kodi ni wajibu. Wapo wafanyabishara wengi wenye stoo wanamaliza biashara huko. Wanaikosesha serikali mapato. Lazima wafanye namna wapate. Tulipe kodi kwa Maendeleo ya Taifa.

Nne, wewe nenda na upepo. Ukiona wenzako baadhi wamefungua nawe fungua. Ukiona kimya, nawe kaa pembeni subiri mgomo uishe. Muda mwingine kuwa wamoja ni jambo la maana hata kama jambo linalofanyika lina ualakini. Kufanya biashara huku wenzako wamekaa tuli, utajijengea chuki.

Tano, nakutakia kila la kheri.
Nimekuelewa Dr na ninakushukuru kwa kunipa matumaini maana nilishaanza kuwaza itakuwaje.
 
Binafsi watakusajilia store yako but siku sio nyingi wataanza kukata kodi ni swala la muda tu kaka ila hii isikufanye ufunge biashara
 
Maisha ya kariakoo hilo la kufunga biashara haliwezi tokea..
KKOO hapajawahi kuwa na umoja wa mgomo.

Hapo ni Stoo zinasajiliwa ili kuondoa issue ya magendo ie Mama Kibonge
 
Nimepokea ujumbe toka kwa viongozi wangu wa biashara kuwa jumatatu tunatakiwa tusifungue biasharaeneo la kariakoo. Nimeuliza wenzangu wameniambia kuwa tra juzi walitoa maelekezo ya kujisajili stoo tunazomiliki, kama mtu unayo stoo ya kuhifadhia bidhaa za biashara.nimempigia jamaa yangu kumuuliza kulikoni huko tra kanijibu kuwa ukweli siyo kwamba kuna kulipa kodi kilichopo ni usajili wa stoo hakuna kodi mpya.nimerudi kwenye jumbe nazopokea kuuliza viongozi wanasema ni kodi.sasa nashindwa elewa kama tra wao wanasema siyo kodi ni usajili viongozi wangu mmetoa wapi hii maana nyote kwangu mimi mfanyabiashara nawategemea.nikajiongeza nikapiga hadi simu tra kituo chao cha simu na maswali wameniambia hakuna kitu kama hicho kilichopo ni usajili wa stoo na siyo ulipaji wa kodi.mimi kiukweli ninafamilia inanitegemea na biashara yangu ndiyo mkombozi wangu katika kuishi.nahofia nikifunga biashara yangu nitoe wapi pesa ya kula. kama kusajili tu stoo sioni kama kuna shida mimi nilidhani ni kulipa kodi mpya.
Usajir unambatana na kodi
Hii kodi mwaka jana mkutano mkuu jumuiya ya wafanya biashara liliongelewa sana jambo hili
 
Back
Top Bottom