king wa kings
Member
- Jun 7, 2023
- 65
- 94
Wadau wafanyabiashara leo nilikuwa Ofisi za TRA mkoa flani kwaajili ya kufunga biashara kutokana na kodi kuwa kubwa na gharama za uendeshaji kuwa kubwa nilijaribu kuongea nao naona wako mbali na hali halisi.
Nilifikia hata kuwaambia hizi tafiti wanazofanya ili kupanga kodi hazina uharisia niliwashauri wafungue maduka darasa yafanye biashara kama kawaida wayatoze kodi kama wengine waone kama yatatoboa wakifanikiwa ndio watajua hali tunayopitia wafanyabiashara.
Nini maoni yenu wadau?
Nilifikia hata kuwaambia hizi tafiti wanazofanya ili kupanga kodi hazina uharisia niliwashauri wafungue maduka darasa yafanye biashara kama kawaida wayatoze kodi kama wengine waone kama yatatoboa wakifanikiwa ndio watajua hali tunayopitia wafanyabiashara.
Nini maoni yenu wadau?