TRA na Taxpayer Portal

TRA na Taxpayer Portal

don-mike

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
600
Reaction score
1,178
TRA recently wame-update system yao, sasa kuna kitu kinaitwa Taxpayer Portal. Ni jambo jema ila limekuja na machungu yake.

Ni jambo jema sababu sasa unaweza submit tax audits, fanya VAT returns, SDL, PAYE, etc bila kufika ofisi ya TRA, unaweza assign tax consultant na wewe ukawa unaangalia tu anachofanya kupitia mtandao. Big up kwa sana kwa hilo, tulichelewa sana, I hope siku moja watakuja na review/assessment namna TaxPayer portal inavyosaidia wafanyabiashara, TRA, na CPA za kitaa. Maana sasa CPA holders ndio wamekuwa relevant. Elimu ikitolewa kidogo tu, hawa TAX Consultants tutaanza watafuta kwa tochi.

Jambo jema limekuja na machungu ya kutosha.
Kama ulikuwa na kampuni/biashara ambayo uliamua kuipotezea au basi tu waga hufanyi returns kila mara basi jua kua kuna janga kubwa nyuma yako. Haraka haraka nimekuta kuna SDL ambazo sijawahi zi-file, nikaaamua zi-file, namaliza file nkakuta nadaiwa kodi mil200+ kwa penalties, yani TSh 0 principal SDL payments, ila over TSh 200+ milion. Hii ni kampuni moja ambayo nimesajili 2019 na atleast nimekuwa nalipa Corparate Tax kila mwaka, ila sijawahi sajili mfanyakazi hata mmoja TRA. Nikifikiria kampuni nyingine zenye mlolongo kama huo, nahisi hizi penalties zinafika TSh 1bil +.

Bila tamko lako bwana Alphayo Kidata/Mwigulu Nchemba kama ambavyo mshawahi samehe MotorVehicle License huko nyuma, basi vijana watu wengi wanaenda ingia mgogoro mkubwa sana na TRA. Nadhani mimi personally waniandalia chumba tu Segerea maana Bil 1 sina pa kuipata, sio kesho wala keshokutwa.

Untitled - Copy.jpg
 
Yeah kuna shida sana hapo hata kwa kampuni ambayo nafanyia kazi icho kitu nimekiona,ila bado nina shaka kwa maana sisi tuli file PAYE & SDL za JUNE 2021 but still inaonesha hatukufile
 
TRA recently wame-update system yao, sasa kuna kitu kinaitwa Taxpayer Portal. Ni jambo jema ila limekuja na machungu yake.

Ni jambo jema sababu sasa unaweza submit tax audits, fanya VAT returns, SDL, PAYE, etc bila kufika ofisi ya TRA, unaweza assign tax consultant na wewe ukawa...
iLa Mkuu kama hauna muda wa kufile izi vitu nipe kazi tu mimi nitafile on behalf of you tena ontime hutapata penalt tena
 
iLa Mkuu kama hauna muda wa kufile izi vitu nipe kazi tu mimi nitafile on behalf of you tena ontime hutapata penalt tena
shida ni hizo za nyuma inakuwaje?

Pia rate yako kwa mwezi ni sh ngapi? Kwa filing ya kodi zote...
Ni CPA wewe, au muhuri unaenda gongea?
 
shida ni hizo za nyuma inakuwaje?

Pia rate yako kwa mwezi ni sh ngapi? Kwa filing ya kodi zote...
Ni CPA wewe, au muhuri unaenda gongea?
Muhuri sina mkuu,CPA ndo nasoma ila nilibahatika kupata kazi na bqfo nafanya kazi na mimi ndo ambae na file ivyo vitu kwa kampuni yetu,more than 300 employee so najua changamoto zote na jinsi ya kupambana nazo
 
Ongea na mwasibu wako omba remission wataziondoa. Ni system imeziweka by default.

Halafu Mambo mengine hayatishi kihivyo. Una penalty ya M300 na mtaji wa M50, omba appoitment na meneja wako wa mkoa muulize hizi kodi mnampango kuzikusanya kwa kutumia mtaji upi? Msiwaogope hawa maafisa.
 
TRA recently wame-update system yao, sasa kuna kitu kinaitwa Taxpayer Portal. Ni jambo jema ila limekuja na machungu yake.

Ni jambo jema sababu sasa unaweza submit tax audits, fanya VAT returns, SDL, PAYE, etc bila kufika ofisi ya TRA, unaweza assign tax consultant na wewe ukawa unaangalia tu anachofanya kupitia mtandao. Big up kwa sana kwa hilo, tulichelewa sana, I hope siku moja watakuja na review/assessment namna TaxPayer portal inavyosaidia wafanyabiashara, TRA, na CPA za kitaa. Maana sasa CPA holders ndio wamekuwa relevant. Elimu ikitolewa kidogo tu, hawa TAX Consultants tutaanza watafuta kwa tochi.

Jambo jema limekuja na machungu ya kutosha.
Kama ulikuwa na kampuni/biashara ambayo uliamua kuipotezea au basi tu waga hufanyi returns kila mara basi jua kua kuna janga kubwa nyuma yako. Haraka haraka nimekuta kuna SDL ambazo sijawahi zi-file, nikaaamua zi-file, namaliza file nkakuta nadaiwa kodi mil200+ kwa penalties, yani TSh 0 principal SDL payments, ila over TSh 200+ milion. Hii ni kampuni moja ambayo nimesajili 2019 na atleast nimekuwa nalipa Corparate Tax kila mwaka, ila sijawahi sajili mfanyakazi hata mmoja TRA. Nikifikiria kampuni nyingine zenye mlolongo kama huo, nahisi hizi penalties zinafika TSh 1bil +.

Bila tamko lako bwana Alphayo Kidata/Mwigulu Nchemba kama ambavyo mshawahi samehe MotorVehicle License huko nyuma, basi vijana watu wengi wanaenda ingia mgogoro mkubwa sana na TRA. Nadhani mimi personally waniandalia chumba tu Segerea maana Bil 1 sina pa kuipata, sio kesho wala keshokutwa.

View attachment 2701513
Pole sana ila kwa sheria zilivyo ni kuwa ulitakiwa kufile hata kama ulikuwa huna wafanyakazi ni takwa lilitaka hivo. Sasa mfumo wenyewe unavyoonyesha kama hukufanya hivo inatukamata naona wameamua kuleta mfumo wa wazi.Naungana nawe ni mfumo mzuri sababu utaondoa sintofahamu nyingi kati yetu na tra na tutaweza ona nini hasa tunadaiwa .Ila nimesikia kwa sasa kama huna wafanyakazi au wapo chini ya 10 tra wameondoa ulazima wa kufile kuanzia julai 1 mwaka huu
 
Pole sana ila kwa sheria zilivyo ni kuwa ulitakiwa kufile hata kama ulikuwa huna wafanyakazi ni takwa lilitaka hivo. Sasa mfumo wenyewe unavyoonyesha kama hukufanya hivo inatukamata naona wameamua kuleta mfumo wa wazi.Naungana nawe ni mfumo mzuri sababu utaondoa sintofahamu nyingi kati yetu na tra na tutaweza ona nini hasa tunadaiwa .Ila nimesikia kwa sasa kama huna wafanyakazi au wapo chini ya 10 tra wameondoa ulazima wa kufile kuanzia julai 1 mwaka huu
vyema kama wameondoa basi waondoe na kwenye system, inaleta mkanganyiko hata kutopenda fungua hiyo portal.
 
TRA recently wame-update system yao, sasa kuna kitu kinaitwa Taxpayer Portal. Ni jambo jema ila limekuja na machungu yake.

Ni jambo jema sababu sasa unaweza submit tax audits, fanya VAT returns, SDL, PAYE, etc bila kufika ofisi ya TRA, unaweza assign tax consultant na wewe ukawa unaangalia tu anachofanya kupitia mtandao. Big up kwa sana kwa hilo, tulichelewa sana, I hope siku moja watakuja na review/assessment namna TaxPayer portal inavyosaidia wafanyabiashara, TRA, na CPA za kitaa. Maana sasa CPA holders ndio wamekuwa relevant. Elimu ikitolewa kidogo tu, hawa TAX Consultants tutaanza watafuta kwa tochi.

Jambo jema limekuja na machungu ya kutosha.
Kama ulikuwa na kampuni/biashara ambayo uliamua kuipotezea au basi tu waga hufanyi returns kila mara basi jua kua kuna janga kubwa nyuma yako. Haraka haraka nimekuta kuna SDL ambazo sijawahi zi-file, nikaaamua zi-file, namaliza file nkakuta nadaiwa kodi mil200+ kwa penalties, yani TSh 0 principal SDL payments, ila over TSh 200+ milion. Hii ni kampuni moja ambayo nimesajili 2019 na atleast nimekuwa nalipa Corparate Tax kila mwaka, ila sijawahi sajili mfanyakazi hata mmoja TRA. Nikifikiria kampuni nyingine zenye mlolongo kama huo, nahisi hizi penalties zinafika TSh 1bil +.

Bila tamko lako bwana Alphayo Kidata/Mwigulu Nchemba kama ambavyo mshawahi samehe MotorVehicle License huko nyuma, basi vijana watu wengi wanaenda ingia mgogoro mkubwa sana na TRA. Nadhani mimi personally waniandalia chumba tu Segerea maana Bil 1 sina pa kuipata, sio kesho wala keshokutwa.

View attachment 2701513
Tunapenda kukushauri kuandika barua ya ombi la kusamehewa adhabu hiyo (penalties) kwenda ofisi unayohudumiwa kikodi kupitia kwa Meneja wa Mkoa Husika.
 
Tunapenda kukushauri kuandika barua ya ombi la kusamehewa adhabu hiyo (penalties) kwenda ofisi unayohudumiwa kikodi kupitia kwa Meneja wa Mkoa Husika.
Ombi la kusamehewa penalty limekaaje kisheria?
Ombi linaweza kubaliwa au kataliwa....pia linaweza fungua mwanya wa rushwa ya lazima.
 
Ombi la kusamehewa penalty limekaaje kisheria?
Ombi linaweza kubaliwa au kataliwa....pia linaweza fungua mwanya wa rushwa ya lazima.
Kamishana Kuu wa TRA kapewa mamlaka ya kusamehe adhabu na riba akiridhika na maelezo yako omba tusiogope mkuu ndiyo haki yetu tusiwe waoga na sioni issue ya rushwa hapo mimi nilishawahi omba na kupewa sababu nilikuwa nataka lipa kodi nikawa na adhabu kuchelewa nikaomba ili nilipe wakanikubalia kuondoa adhabu
 
Kamishana Kuu wa TRA kapewa mamlaka ya kusamehe adhabu na riba akiridhika na maelezo yako omba tusiogope mkuu ndiyo haki yetu tusiwe waoga na sioni issue ya rushwa hapo mimi nilishawahi omba na kupewa sababu nilikuwa nataka lipa kodi nikawa na adhabu kuchelewa nikaomba ili nilipe wakanikubalia kuondoa adhabu
mhh...but well noted.
 
Kamishana Kuu wa TRA kapewa mamlaka ya kusamehe adhabu na riba akiridhika na maelezo yako omba tusiogope mkuu ndiyo haki yetu tusiwe waoga na sioni issue ya rushwa hapo mimi nilishawahi omba na kupewa sababu nilikuwa nataka lipa kodi nikawa na adhabu kuchelewa nikaomba ili nilipe wakanikubalia kuondoa adhabu
Haya mambo yanafikirisha sana.
Yani mtengeneza system ameruhusiwa kutengeneza system inayoleta mkanganyiko ili mlipa kodi aandike barua ya kuomba msamaha wa penalty kwa kamishna?
 
Back
Top Bottom