Tra na uhamiaji mulikeni kampuni ya digital mobile africa tanzania

Tra na uhamiaji mulikeni kampuni ya digital mobile africa tanzania

KIDUDU

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2012
Posts
2,557
Reaction score
1,927
Ndugu zangu TRA, Kuna kampuni inaitwa DMA ipo dodoma na makao makuu yapo Dar es salaam. Hawa kwanza ni matapeli kutoka Zimbabwe, wametufanyisha kazi na hawajatulipa toka mwezi wa tatu na mikataba yetu ilimalizika tangu mwezi wa tano. Tupo wat zaidi ya 300 kwenye mikoa ya Dodoma, Manyara na Singida. Tukiwapigia simu viongozi wetu hawatuskilizi, na muda mwingi hawapokei.

Sasa inaonekana hata kodi huenda hawalipi. Huwa wanatukata pesa nyingi wanadai wamelipa kodi, bila shaka ni uongo, angalieni na uhalali wao wa kuishi nchini maana tumejaribu mpaka kumshirikisha mbunge wetu wa Manyoni ila hakuna majibu ya kueleweka.
 
Unasema mlimshirikisha mbunge wa manyoni bado hamkupata majibu ya kueleweka,

Hebu yaweke wazi hayo majibu tuyapime
 
Ndugu zangu TRA, Kuna kampuni inaitwa DMA ipo dodoma na makao makuu yapo Dar es salaam. Hawa kwanza ni matapeli kutoka Zimbabwe, wametufanyisha kazi na hawajatulipa toka mwezi wa tatu na mikataba yetu ilimalizika tangu mwezi wa tano. Tupo wat zaidi ya 300 kwenye mikoa ya Dodoma, Manyara na Singida. Tukiwapigia simu viongozi wetu hawatuskilizi, na muda mwingi hawapokei.

Sasa inaonekana hata kodi huenda hawalipi. Huwa wanatukata pesa nyingi wanadai wamelipa kodi, bila shaka ni uongo, angalieni na uhalali wao wa kuishi nchini maana tumejaribu mpaka kumshirikisha mbunge wetu wa Manyoni ila hakuna majibu ya kueleweka.
Poleni sana mkuu
Umesema hamjalipwa tangu mikataba yenu ilipomalizika mwezi wa tano? Hizo kodi huwa mnakatwa kwenye malipo yepi?
 
Ndugu zangu TRA, Kuna kampuni inaitwa DMA ipo dodoma na makao makuu yapo Dar es salaam. Hawa kwanza ni matapeli kutoka Zimbabwe, wametufanyisha kazi na hawajatulipa toka mwezi wa tatu na mikataba yetu ilimalizika tangu mwezi wa tano. Tupo wat zaidi ya 300 kwenye mikoa ya Dodoma, Manyara na Singida. Tukiwapigia simu viongozi wetu hawatuskilizi, na muda mwingi hawapokei.

Sasa inaonekana hata kodi huenda hawalipi. Huwa wanatukata pesa nyingi wanadai wamelipa kodi, bila shaka ni uongo, angalieni na uhalali wao wa kuishi nchini maana tumejaribu mpaka kumshirikisha mbunge wetu wa Manyoni ila hakuna majibu ya kueleweka.
Kwa hiyo Uhamiaji na TRA watakusaidia kupata malipo yenu?
 
Hao matapeli wapo wengi tu.., hapo watahonga tu na kubadili jina la kampuni
 
Poleni sana mkuu
Umesema hamjalipwa tangu mikataba yenu ilipomalizika mwezi wa tano? Hizo kodi huwa mnakatwa kwenye malipo yepi?
Hatkulipwa tangu mwezi wa tatu, mikaba imeisha mwezi mei. Tukiwatafuta hata simu hawashiki,
So wasiwasi hata zile kodi tulizokatwa tangu mwaka jana nina uhakika hawajapeleka TRA maana inaonekana utapeli ni asili yao. Hata Uhamiaji inabidi waangalie uhalali wao waliingiaje nchini. Inaonekana wanatoa rushwa sana.
 
Back
Top Bottom