Habar wakuu! Nisaidieni kujua hili, TRA hutoza ushuru kwa bei ya kununulia gari tu au ni pamoja na ile ya kusafirishia?...mfano mimi nahitaji kununua toyota vitz toka japan kwa us& 511 halafu c&f to dar es salam nimeambiwa us& 1700.
Nliwah kusikia kuwa kwa gar lenye umri kuanzia miaka 10 ushuru ni asilimia 80. Sasa swali langu la msingi ni kuwa, hiyo 80% ni kwa bei ya gari tu au ni pamoja na shipping cost?
Natanguliza shukrani.
Nliwah kusikia kuwa kwa gar lenye umri kuanzia miaka 10 ushuru ni asilimia 80. Sasa swali langu la msingi ni kuwa, hiyo 80% ni kwa bei ya gari tu au ni pamoja na shipping cost?
Natanguliza shukrani.