Hebu tujaribu kuwa serious humu JF vinginevyo ujinga (ignorance) wetu aliousema Mwalimu Nyerere tutakufa nao; unadhani kuendesha mgari mkubwa ndiyo ujanja! Nenda na wakati ili ujinga ukutoke.Hyo vitz unaendesha wewe au unaonga? Kama ni wewe ebu badili gari bwana mwanamme na vitz wapi na wapi?
Vitz is my favourate car also! Tofauti ya mark II yako na vitz yangu ni nini. Wote tunafika tunakotaka kwenda na zaidi ya yote mahali ambapo wewe utatumia lita tano kufika mimi mwenzako nitatumia lita mbili na nusu. Nani mjanja? Au kuwa mwanaume ni kuwa na matumizi makubwa?Hyo vitz unaendesha wewe au unaonga? Kama ni wewe ebu badili gari bwana mwanamme na vitz wapi na wapi?
....mmmmh!!kuna gari ya kuhonga na ya kuendesha!!!Hyo vitz unaendesha wewe au unaonga? Kama ni wewe ebu badili gari bwana mwanamme na vitz wapi na wapi?
Habar wakuu! Nisaidieni kujua hili, TRA hutoza ushuru kwa bei ya kununulia gari tu au ni pamoja na ile ya kusafirishia?...mfano mimi nahitaji kununua toyota vitz toka japan kwa us& 511 halafu c&f to dar es salam nimeambiwa us& 1700.
Nliwah kusikia kuwa kwa gar lenye umri kuanzia miaka 10 ushuru ni asilimia 80. Sasa swali langu la msingi ni kuwa, hiyo 80% ni kwa bei ya gari tu au ni pamoja na shipping cost?
Natanguliza shukrani.
Hebu tujaribu kuwa serious humu JF vinginevyo ujinga (ignorance) wetu aliousema Mwalimu Nyerere tutakufa nao; unadhani kuendesha mgari mkubwa ndiyo ujanja! Nenda na wakati ili ujinga ukutoke.
Achana hizo ukiingia kwenye web site ya TRA tafuta kitu Tax Estimator au ingia hapa Welcome to GariYangu.com - GariYangu.Com
Pole kama unaendesha vitz,duet,starlet,raum,suzuki jimny,hivo vigari ni vya mademu tu mwanamme na midevu plus mip**mbu unaedesha vitz???
ngoja nikuwekee attachment i downloaded from the TRA website. Ni calculator ya namna ya kujua jumla ya kodi za kulipia kwa kila aina ya gari.[/QU najaribu kufungua
Wewe ni MBUMBUMBU KABISA, Kwa kifupi watanzania asilimia 99 wenye magari pamoja na wewe unaejiita mwanamume wanatakiwa kuendesha magari ya aina hii, kujikweza sio maendeleo weeeeeeeeeeeee kwa kifupi ni MWIZI sio mhangaikaji ndio maana unamcheka anayetaka kununua Vitz.