TRA: Nyumba za nyasi hazitatozwa

TRA: Nyumba za nyasi hazitatozwa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210822_12103514854.jpg

My Take
Ndugu wananchi kama mnaona huyu mama hafai,acheni kulalamika.mwambie atoke
 
Hazitatozwa kodi kwa utaratibu Upi ?

Na mabanda yaliyo vuta umeme yanaingia kwenye Category hiyo ?
 
Na akiupgrade inakuaje...na mtu wa mjini akiezeka k a Nyasu atatozwa au ataachwa...if kigezo ni Nyasu hoteli zilizoezekwa kwa Nyasu itakuaje...
 
Haaahaaa daaaaa kichekesho Cha Karne Hivi Hawa makaburu weusi CCM wanatuchukuliaje wananchi wadau?

Hizo nyumba za nyasi na makuti mita zao za mbao?
 
Back
Top Bottom