Shukrani,
Kwa hakika serikali imepoteza mapato mengi hapa!!! sasa subiria what will happen...
Wenye nyumba watakuwa registered watakuwa na TIN, hakuna kukwepa kodi...
Sina hakika kama ni vizuri. Tunaweza kushangaa tunarudi kulekule kwenye kodi kama za mkoloni, breast tax, head tax na kodi nyingine za ajabu ajabu. Bado kuna maeneo mengi sana ya kukusanya kodi yanaachwa. na matokeo yake wanaotozwa kodi ni wanyonge wenye moyo wa kulipa kodi na wanasamehewa ni wale wenye uwezo wa kulipa na kukwepa kodi.
Sina ugomvi na jinsi wanavyopenda kukusanya kodi in a more efficient and equitable way, my concerns ni jinsi wanavyotumia kodi zetu vibaya! Im seriously disapointed!
Pia TRA waache kuwa wazembe wakufikiri, kila siku tunawapigia kelele they r too lazy in thinking and exploring more avenues in broadening the tax base, they are just milking a very small group of taxpayers, yote hii ni uvivu wa kufikiri pia ubinafsi, coz wao wanapata mishahara na kujineemesha kwa rushwa iliyokithiri wakati wanasimamia ukusanyaji wa mapato ya serikali!
Baadhi wa wakazi wa Dar es Salaam wakiwa na bidhaa walizonunua katika maonyesho ya kimataifa ya biashara yaliyoanza Jumanne Jijini.
Hussein Issa na Saa Mohamed
- Utekelezaji umeanza rasmi jana
- Majengo yote kuthaminiwa upya
- Mkoa wa Dar kufungua mlango
SERIKALI imekabidhi rasmi jukumu la kukusanya kodi ya majengo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana Kamishna wa Kodi za ndani, Joannes Mallya tafanya kazi hiyo kwa niaba ya Serikali za Mitaa na kwamba inaanza kutekelezwa mwezi huu.
Habari kamili bofya hapa