TRA/TBS najihisi kutapeliwa

ramses2

Member
Joined
Jan 19, 2016
Posts
47
Reaction score
29
Hivi ni kigezo gani kinacho weza kufanya nikatozwa ushuru wa Tsh. milioni 18 kwa Minibus 15 seats/Van? Ford transit/ya mwaka 2003/cc 2402/ in are mbele Diesel; toka UK.
Nisaidiyeni haya mahesabu na calculator imenishinda. Labda mwenye utaalam zaidi anijuze plz.

TBS ndo mwisho, wao wanakuambia utoke Dar ukapime ubora wa gari lako Kigoma. hawa amini vipimo vwa muingereza. sijuwi ni kutokujuwa au makusudi. UK sio London. London ni kama Dar na UK ni kama Tanzania.

msaada wenu plz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…