TRA waje JF wajibu maswali kadhaa ya waagizaji magari binafsi.

TRA waje JF wajibu maswali kadhaa ya waagizaji magari binafsi.

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
upload_2016-9-9_11-23-32.png

Mazda CX-7 2.3 DISI MZR 5 Door

Gari hii ni ya mwaka 2007 na inakaribia kufika miaka 10

Nimejikakamua kununua gari hii kwa pauni za Uingereza 3,700 kupitia Auto Trader.

Kuhusu gari hii:

Ni right hand Drive

Ni SUV

Ukubwa wa Engine ni 2261cc

Ni 4x4

Speed yake ni 130

Imetembea Kilomita 62,000

Ni manual gear na inatumia 2.3 L ikiwa ni mafuta ya Petroli.

Sasa kwa mujibu wa kikokotoa cha TRA kwenye tovuti yao, hakuna maingizo ya gari kama hili isipokuwa kama lingekuwa limetokea Japan

Ila wanachosema ni kwa mimi kujaza anuani yangu ya barua pepe , namba ya simu na details za gari halafu watanijulisha gharama halisi.

Mwishoni wanasema katika ujumbe wao kama inavyoonyesha hapo chini:

STEP 8
After completing the vehicle details submit the details for TRA to include the missing model on the next release by clicking: Send Details

STEP 9
After sending details, the following message will appear.

Na hapo chini wanatoa msisitizo wa hii ya kutuma taarifa za gari kwa wino mwekundu kwamba:

The vehicle details have been sent to TRA technical team and your request will be accommodated in the next release of this calculator. You may proceed with your declaration in the normal procedure

Kwanini wasiweke wazi kila timu kwenye kikokotoa hicho badala ya mimi kuwapigia simu ili wanipe hesabu kamili kuhusu ushuru watakaonitoza?

Je hio ni hatua sahihi ya kufanya kwa TRA?

Kwanini kikokotoa hakikidhi mahitaji ya wateja wote yaani wale wa Ulaya na wale wa nchi kama Japan?

Mbona hii inaonyesha kuwepo dalili za uwizi wa pesa za watu?

Naomba ufafanuzi kutoka TRA tafadhali.
 
View attachment 396857
Mazda CX-7 2.3 DISI MZR 5 Door

Gari hii ni ya mwaka 2007 na inakaribia kufika miaka 10

Nimejikakamua kununua gari hii kwa pauni za Uingereza 3,700 kupitia Auto Trader.

Kuhusu gari hii:

Ni right hand Drive

Ni SUV

Ukubwa wa Engine ni 2261cc

Ni 4x4

Speed yake ni 130

Imetembea Kilomita 62,000

Ni manual gear na inatumia 2.3 L ikiwa ni mafuta ya Petroli.

Sasa kwa mujibu wa kikokotoa cha TRA kwenye tovuti yao, hakuna maingizo ya gari kama hili isipokuwa kama lingekuwa limetokea Japan

Ila wanachosema ni kwa mimi kujaza anuani yangu ya barua pepe , namba ya simu na details za gari halafu watanijulisha gharama halisi.

Mwishoni wanasema katika ujumbe wao kama inavyoonyesha hapo chini:

STEP 8
After completing the vehicle details submit the details for TRA to include the missing model on the next release by clicking: Send Details

STEP 9
After sending details, the following message will appear.

The vehicle details have been sent to TRA technical team and your request will be accommodated in the next release of this calculator. You may proceed with your declaration in the normal procedure

Kwanini wasiweke wazi kila timu kwenye kikokotoa hicho badala ya mimi kuwapigia simu ili wanipe hesabu kamili kuhusu ushuru watakaonitoza?

Je hio ni hatua sahihi ya kufanya kwa TRA?

Kwanini kikokotoa hakikidhi mahitaji ya wateja wote yaani wale wa Ulaya na wale wa nchi kama Japan?

Mbona hii inaonyesha kuwepo dalili za uwizi wa pesa za watu?

Naomba ufafanuzi kutoka TRA tafadhali.

mkuu acha sound kodi yako ni milion 18.13, nenda ukalipe kodi hakuna dalili za wizi wa pesa hapo, TRA wanasubiria hela yako wafikie malengo mwezi huu
 
mkuu acha sound kodi yako ni milion 18.13, nenda ukalipe kodi hakuna dalili za wizi wa pesa hapo, TRA wanasubiria hela yako wafikie malengo mwezi huu

Ok, Milioni 10,700,000 ndiyo exchange rate na julisha hiyo 18,130,000 jumla 29,000,000 kwa gai hii kweli?

Kwahio nikiwa na milioni 30 kwa ujumla ndio naweza kuingiza gari hii nchini Tanzania?

Tafadhali weka mchanganuo hapa umefikaje kwenye hiyo 18.13
 
Ok, Milioni 10,700,000 ndiyo exchange rate na julisha hiyo 18,130,000 jumla 29,000,000 kwa gai hii kweli?

Kwahio nikiwa na milioni 30 kwa ujumla ndio naweza kuingiza gari hii nchini Tanzania?

Tafadhali weka mchanganuo hapa umefikaje kwenye hiyo 18.13
hizo calculation nimefanya straight from the calculator with regards to feeded exchange rate n CIF kupata customs value ndo ikanipa hiyo figure. 10.7M ni exchange rate kiaje? au una maanisha ndo Cost Insurance n Freight?
 
Ila kuna jambo muhimu sana ambalo TRA hasa board Na top mgt Kwa ujumla wanapaswa kulifanyia haraka kitu ambacho kinaumiza wananchi ni kile kitendo cha tabia ya ku uplift bei za Magari toka nje ya nchi, Siku hizi bei za Magari zinaonekana kwenye mitandao Kwa kila Mtu , unakuta Mtu kanunua gari Kwa USD 2,000/- akija wakati wa clearance wanamwambia value ya gari yako ni USD zaidi ya ile bei aloninua, hicho kitu kimekuwa kikiumiza wananchi Kwa miaka mingi sana! Saingine nawaza hata misukosuko wanaopata waliokuwa viongozi wa tra Labda ni laana ya mang'uniko ya wananchi sijui, tumwogope Mungu jamani! Kwa nini umuongezee Mtu bei ya kitu ambacho Sio kweli Je hiyo ni haki? Hizo database haziko Sawa! Viongozi wenye dhamana msijisahau jamani tumikieni waTZ Kwa uaminifu !
 
hizo calculation nimefanya straight from the calculator with regards to feeded exchange rate n CIF kupata customs value ndo ikanipa hiyo figure. 10.7M ni exchange rate kiaje? au una maanisha ndo Cost Insurance n Freight?

Yes, ni cost ya Insurance and freight.
 
Ila kuna jambo muhimu sana ambalo TRA hasa board Na top mgt Kwa ujumla wanapaswa kulifanyia haraka kitu ambacho kinaumiza wananchi ni kile kitendo cha tabia ya ku uplift bei za Magari toka nje ya nchi, Siku hizi bei za Magari zinaonekana kwenye mitandao Kwa kila Mtu , unakuta Mtu kanunua gari Kwa USD 2,000/- akija wakati wa clearance wanamwambia value ya gari yako ni USD zaidi ya ile bei aloninua, hicho kitu kimekuwa kikiumiza wananchi Kwa miaka mingi sana! Saingine nawaza hata misukosuko wanaopata waliokuwa viongozi wa tra Labda ni laana ya mang'uniko ya wananchi sijui, tumwogope Mungu jamani! Kwa nini umuongezee Mtu bei ya kitu ambacho Sio kweli Je hiyo ni haki? Hizo database haziko Sawa! Viongozi wenye dhamana msijisahau jamani tumikieni waTZ Kwa uaminifu !

Hakuna haki kabisa kwa mwananchi mnunuzi iweje bei ya kutolea gari iwe karibu mara mbili ya bei ya kununulia?
 
Hivi inakuaje TRA wakupangie bei ya gari wakati wewe umenunua kupitia mtandao na muuzaji kaweka bei na mzigo ukafika salama ufike tena wakupangie bei yao sipati picha kwa hali hii ni wizi mtupu, kwahiyo TRA ndo wametengeneza hilo gari? Ama!
 
Hivi inakuaje TRA wakupangie bei ya gari wakati wewe umenunua kupitia mtandao na muuzaji kaweka bei na mzigo ukafika salama ufike tena wakupangie bei yao sipati picha kwa hali hii ni wizi mtupu, kwahiyo TRA ndo wametengeneza hilo gari? Ama!
Halafu siku wakikuta bei uliyonunulia gari ni kubwa kuliko ya kwenye Calculator yao wanakuambia basi mtumie hiyohiyo Invoice Value. Yaani ni kama vile hawajui wanataka nini bali kilicho kikubwa ndicho wanachokifuata. Mtanisamehe sana ndugu zangu wanaotokea pembeni na Ule Mlima mrefu kuliko yote Africa lakini nadhani uwepo wenu kwa wingi pale TRA umefanya wawe wanawaza Hela tu Muda wote by any means.
 
Ila kuna jambo muhimu sana ambalo TRA hasa board Na top mgt Kwa ujumla wanapaswa kulifanyia haraka kitu ambacho kinaumiza wananchi ni kile kitendo cha tabia ya ku uplift bei za Magari toka nje ya nchi, Siku hizi bei za Magari zinaonekana kwenye mitandao Kwa kila Mtu , unakuta Mtu kanunua gari Kwa USD 2,000/- akija wakati wa clearance wanamwambia value ya gari yako ni USD zaidi ya ile bei aloninua, hicho kitu kimekuwa kikiumiza wananchi Kwa miaka mingi sana! Saingine nawaza hata misukosuko wanaopata waliokuwa viongozi wa tra Labda ni laana ya mang'uniko ya wananchi sijui, tumwogope Mungu jamani! Kwa nini umuongezee Mtu bei ya kitu ambacho Sio kweli Je hiyo ni haki? Hizo database haziko Sawa! Viongozi wenye dhamana msijisahau jamani tumikieni waTZ Kwa uaminifu !
Sasa kama office [emoji539] zimekaaa kidili dili Unafikiri, Lazima waweke mianya ya kupiga pesa apo
 
Halafu siku wakikuta bei uliyonunulia gari ni kubwa kuliko ya kwenye Calculator yao wanakuambia basi mtumie hiyohiyo Invoice Value. Yaani ni kama vile hawajui wanataka nini bali kilicho kikubwa ndicho wanachokifuata. Mtanisamehe sana ndugu zangu wanaotokea pembeni na Ule Mlima mrefu kuliko yote Africa lakini nadhani uwepo wenu kwa wingi pale TRA umefanya wawe wanawaza Hela tu Muda wote by any means.
Hata mimi nashangaaga sana kama kuna TRA office [emoji539] moja ipo kwy wilaya mpya ya Ubungo kuna watu wengi wa kabila moja kuanzia bosi mpaka awo wa ngazi ya chini, pale bila pesa ushughulikiwi tatizo lako
Icho kipande kwa Rushwa ni wazuri sana.
Ndio maana mkuu tuunaitaji kumuombea
 
Back
Top Bottom