Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
Tra wametuandama wanataka records zetu za biashara kuanzia 2015 mpaka 2017 . records zenyewe zijakamilika na kuna kodi ambazo hatujawai lipa, nisaidieni ushauri kama kuna madhara ya kutotoa records au nifanyaje. Maana Siku hizi hawapokei ongo