mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Wakati dunia nzima iko locked down ikihaha kupambana na Corona virus TRA wao wanahaha kukusanya kodi wavunje rekodi, nimeshuhudia kampuni zikiandikiwa barua kua mwaka 2010, 2014, 2015 zilipeleka return zenye risiti ambazo mashine zake VAT haitambuliki, hapa nilijiuliza maswali ya msingi;
1. Je anayetoa hizi mashine kwa mfanya biashara ni mtu binafsi au ni TRA?
2. Je anaetakiwa kuhakikisha kua mashine inatoa risiti halali na imesahiriwa kihalali na taarifa za mashine zinatambulika ni TRA au ni mfanya biashara?
3. Kwa nini makampuni yapigwe faini kubwa na kutishiwa kesi za uhujumu uchumi wakati makampuni yanayohusika na usajili wa hizi mashine za efd na wafanya kazi wengine walio husika kwa namna moja au nyingine wapo mtaani hawachukuliwi hatua yoyote?
4. Ni kweli serikali inafanya hivi ili ipate pesa ya kuendeshea uchaguzi na kufany kampeni??
Hapa kuna biashara nyingi zitafungwa na kuna watu wataonewa na kulazimishwa kulipa pesa ambazo kimsingi wao hawahusiki kuzilipa na wala hawakula hizo pesa. Serikali iangalie namna nyingine ya kupata pesa ya kufanya mambo yake kuliko hili la kuonea na kutesa raia wake
1. Je anayetoa hizi mashine kwa mfanya biashara ni mtu binafsi au ni TRA?
2. Je anaetakiwa kuhakikisha kua mashine inatoa risiti halali na imesahiriwa kihalali na taarifa za mashine zinatambulika ni TRA au ni mfanya biashara?
3. Kwa nini makampuni yapigwe faini kubwa na kutishiwa kesi za uhujumu uchumi wakati makampuni yanayohusika na usajili wa hizi mashine za efd na wafanya kazi wengine walio husika kwa namna moja au nyingine wapo mtaani hawachukuliwi hatua yoyote?
4. Ni kweli serikali inafanya hivi ili ipate pesa ya kuendeshea uchaguzi na kufany kampeni??
Hapa kuna biashara nyingi zitafungwa na kuna watu wataonewa na kulazimishwa kulipa pesa ambazo kimsingi wao hawahusiki kuzilipa na wala hawakula hizo pesa. Serikali iangalie namna nyingine ya kupata pesa ya kufanya mambo yake kuliko hili la kuonea na kutesa raia wake