Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Nimesikia habari punde kutoka TBC ! kuwa TRA, kupitia majembe Auction Mart, imekamata mitambo ya Dowans kwa madai kuwa haijalipa kodi ya zaidi ya Sh bilioni 9.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia habari punde kutoka TBC ! kuwa TRA, kupitia majembe Auction Mart, imekamata mitambo ya Dowans kwa madai kuwa haijalipa kodi ya zaidi ya Sh bilioni 9.
Fisadi Rostam kama kashindwa kulipa kodi basi afilisiwe na kitakachopatikana kikalipe hilo deni lake.
ushabiki mwingine bana...
Jioni ya leo TRA wakiongozana mawakala wao Majembe walifika kuliko mitambo ya Dowans wamefunga kufuli zao na kukamata magari ya wafanyakazi wa Dowans,pia waliagiza mitambo isiuzwe wala isihamiswe. Cha ajabu nasikia haupita muda walirudi tena wakiwa wameloa jasho na kufungua kwa amri kutoka Ikulu. ikulu ina ubia na Dowans??!!