😕
Bhayanda,
Nisha waulizeni hapo kwa JF haya maswali:
1: Nini maana ya IKULU??
2: katika hii mihimili 3 Bunge, Mahakama, Serikali ------ IKULU inatokea wapi na kuwa na mamlaka??
3: IKULU ndio serikali?????
Maana matamko mengi yamenitatanisha hapa;
week chache zilizo pita Kauli ilitoka IKULU rais kaaagiza mtambo wa IPTL uwashwe haraka sana???mmmh nkagutuka
Gafla ndani ya siku sita Meli imeishatua nanga Dar Es Salaaam jamaaaani.
Nambo niambiwe anu mnipe ndo ndo za mgawanyiko wa Kikazi kati wafanyakazi waliko IKULU na wale wa wizara husika na ni wapi tamko la serikali hutakiwa kutole na ni wapi IKULU yapaswa kutoa tamko ktk hali gani??
TRA nayo ni ya kuchunguzwa jamani au nayo yapewa makali ya kunyoa ikinyoa nayo huambiwa weeeeeee alaaaaaa wapenda kunyoa na visivyo nyolewa???? Au Wapi kanuni na sheria za kiutendaji za kuilinda TRA katika utendaji kazi wake??
Kuna Taasisi nyingi zinashindwa kuundwa makusudi kabisa wakijua fika viongozi wetu watarumbana tu pale mamlaka, Sheria za kiutendaji zitakapo undwa na kuiruhusi iyo taaasisi ifanyekazi itakula kwao, sasa wanaamua kutuburuza wajisikiavyo na kutoa kauri vyovyote wajiskiavyo; Tukihoji kweli watupe Takwimu kweli Dowans wanalipa Kodiiii? Nakama hawalipi Iyo kampuni inafanya kazi gani humu nchi???? Kama ina Kesi mbona hiyo kesi haiiishi na haina au haijulikani aye imiliki iyo kampuni??? Mahaka zetu zahukumu hewa au???