TRA yawatoa hofu Wafanyabiashara kuhusu pesa zao Benki

TRA yawatoa hofu Wafanyabiashara kuhusu pesa zao Benki

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
cg and governar 2.jpg
cg and governar.jpg
cg and governar.jpg
cg and governar 3.jpg



#Dar es Salaam

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda na Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT) Bw. Emmanuel Tutuba leo tarehe 17/10/2024 wamekutana na Watendaji Wakuu wa Mabenki na Taasisi za Fedha nchini kujadili suala la Hati ya Uwakala katika ulipaji kodi (Agency Notice). Kamishna Mkuu Mwenda amesema kuwa, Hati za Uwakala ni njia ya mwisho kabisa ya kukusanya kodi na TRA itaendelea kutoa elimu na kujenga mahusiano ya karibu zaidi na walipakodi ili waweze kulipa kodi zao kwa wakati kwa lengo la kuondokana na matumizi ya Hati hizo za Uwakala katika ulipaji kodi.
 
Hongera kwa gavana tutuba na kamishna mwenda , watu wengi waliacha kuweka pesa benki muda mrefu na kuanza kuweka kwenye mapipa nyumbani kwa ujinga wa pesa kuchukuliwa bila sababu na kufungia akaunti za watu
 
View attachment 3128620View attachment 3128621View attachment 3128621View attachment 3128622


#Dar es Salaam

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda na Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT) Bw. Emmanuel Tutuba leo tarehe 17/10/2024 wamekutana na Watendaji Wakuu wa Mabenki na Taasisi za Fedha nchini kujadili suala la Hati ya Uwakala katika ulipaji kodi (Agency Notice). Kamishna Mkuu Mwenda amesema kuwa, Hati za Uwakala ni njia ya mwisho kabisa ya kukusanya kodi na TRA itaendelea kutoa elimu na kujenga mahusiano ya karibu zaidi na walipakodi ili waweze kulipa kodi zao kwa wakati kwa lengo la kuondokana na matumizi ya Hati hizo za Uwakala katika ulipaji kodi.
ni jambo jema kwa kamishna Mwenda na Gavana Tutuba hatua nzuri niwapongeze kwa mkakati huu mzuri.
 
View attachment 3128620View attachment 3128621View attachment 3128621View attachment 3128622


#Dar es Salaam

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda na Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT) Bw. Emmanuel Tutuba leo tarehe 17/10/2024 wamekutana na Watendaji Wakuu wa Mabenki na Taasisi za Fedha nchini kujadili suala la Hati ya Uwakala katika ulipaji kodi (Agency Notice). Kamishna Mkuu Mwenda amesema kuwa, Hati za Uwakala ni njia ya mwisho kabisa ya kukusanya kodi na TRA itaendelea kutoa elimu na kujenga mahusiano ya karibu zaidi na walipakodi ili waweze kulipa kodi zao kwa wakati kwa lengo la kuondokana na matumizi ya Hati hizo za Uwakala katika ulipaji kodi.
Nchi inayoendesha mambo yake kwa maelekezo toka juu siyo ya kuamini
 
Hivi vichwa viwoli shule imetulia vichwani mwao. Engine na moyo wa Tanzania ipo mikononi mwao.
cg and governar 2.jpg
 
View attachment 3128620View attachment 3128621View attachment 3128621View attachment 3128622


#Dar es Salaam

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Mwenda na Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT) Bw. Emmanuel Tutuba leo tarehe 17/10/2024 wamekutana na Watendaji Wakuu wa Mabenki na Taasisi za Fedha nchini kujadili suala la Hati ya Uwakala katika ulipaji kodi (Agency Notice). Kamishna Mkuu Mwenda amesema kuwa, Hati za Uwakala ni njia ya mwisho kabisa ya kukusanya kodi na TRA itaendelea kutoa elimu na kujenga mahusiano ya karibu zaidi na walipakodi ili waweze kulipa kodi zao kwa wakati kwa lengo la kuondokana na matumizi ya Hati hizo za Uwakala katika ulipaji kodi.
Yaani maneno ya governor na commissioner wa TRA yanatosha bila hata kupereka mswada wa sheria Bungeni kuondowa ujinga wa amri kutoka juu? Ni mwenda wazimu tu anaye weza kuamini maneno ya wateule wa mwenyekiti wa ccm.
 
Back
Top Bottom