Bado sijapata jibu,
1)when was interview?
2)Short listed walitoka kwenye gazeti gani?
3) Wameanza lini kazi,
Sio kwamba niliaply au kuhitaji kaz bt kuna utafiti naufanya juu ya hizi gvt agencies na wizara juu ya ajira zao tusaidiane kuondoa urasimu...nipeni info wadau.