Traffic kupokonya leseni

Kalunguine

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2010
Posts
2,543
Reaction score
134
Ndugu wana JF, limekua ni suala linalokera sana, unapokutana na traffic, kwanza atajidai kuangalia road licence, insurance nk nk, baadae anakuambia naomba driving licence. Ukishamkabidhi ataanza kutoa vimakosa ali mradi tu umpe rushwa.
Hivi sheria inaruhusu traffic kuchukua driving licence ? kuna mada ilitolewa humu, kuwa traffic anaruhusiwa kuchukua driving licence ila kwa "mujibu wa sheria" huu si ndio mwanya wanaoutumia kuwanyanyasa madereva ? Naomba Elimu kwenye hili.
 
Ndugu wana JF, limekua ni suala linalokera sana, unapokutana na traffic, kwanza atajidai kuangalia road licence, insurance nk nk, baadae anakuambia naomba driving licence. Ukishamkabidhi ataanza kutoa vimakosa ali mradi tu umpe rushwa.
Hivi sheria inaruhusu traffic kuchukua driving licence ? kuna mada ilitolewa humu, kuwa traffic anaruhusiwa kuchukua driving licence ila kwa "mujibu wa sheria" huu si ndio mwanya wanaoutumia kuwanyanyasa madereva ? Naomba Elimu kwenye hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…