Traffic na Askari wa Tochi Kateshi

Traffic na Askari wa Tochi Kateshi

abousalimu

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
51
Reaction score
15
Assalaam,

Naomba nianze kwa kuwapongeza askari wa usalama barabarani kwa utendaji mzuri sehemu mbalimbali Tanzania.

Nilichokiona Katesh siku ya trh 12/4/2020 sio cha kiungwana na kinaondoa uadilifu wa jeshi. Binafsi niliandikiwa faini kwa kosa la kuendesha gari kwa spidi ya 57/h.

Kadhalika magari niliyokuwa nimeongozana nayo na yalikua na spidi zaidi ya 58/h hayakutozwa faini. Nauliza kuna gari za private ambazo ziko exempted katika sheria hizi za usalama barabarani?
 
Mkuu hakuna jinsi ya kukwepa mwisho ni 50kph kama umezidi na kulikuwa na bango usilaumu ila kama sehemu uliyopita ni above 50kph ni uonevu.Kuhusu waliopita mbele yako na hawakusimamishwa yawezekana ni magari ya askari wenzao, special, au sababu yeyote ama walikutaka wewe tu so kabla hujalaumu chunguza kwanza jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assalaam,
Naomba nianze kwa kuwapongeza askari wa usalama barabarani kwa utendaji mzuri sehemu mbalimbali Tanzania.
Nilichokiona Katesh siku ya trh 12/4/2020 sio cha kiungwana na kinaondoa uadilifu wa jeshi. Binafsi niliandikiwa faini kwa kosa la kuendesha gari kwa spidi ya 57/h. Kadhalika magari niliyokuwa nimeongozana nayo na yalikua na spidi zaidi ya 58/h hayakutozwa faini. Nauliza kuna gari za private ambazo ziko exempted katika sheria hizi za usalama barabarani?
Kituo cha polisi katesh,usiwashangae kiongozi ni kawaida yao,trafic pale wametumwa pesa ili pia watunze familia zao.kwa kifupi katesh jeshi la polisi ni aibu tupu.labda IGP afanye safari ya kudhtukiza kwenda pale atagunfua tunayoyasema.nilipita pale kituo cha polisi katesh, IGP saimonsirro katika uongozi wake Hajawahi kufika kituo cha polisi katesh.na wanajua pale hatawahi kufika na sababu wanazo.
 
Back
Top Bottom