Traffic Police Mweupe Mfupi anayeeongoza magari kwenye taa za St. Peters Osterbay anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu

Traffic Police Mweupe Mfupi anayeeongoza magari kwenye taa za St. Peters Osterbay anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu

vivian

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,749
Reaction score
1,000
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake apewe, huyu Baba anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu sana.

Nimekua napita hili eneo kila siku asubuhi na jioni kwenda kwenye mihangaiko yangu, ukiona siku ambayofFoleni haisogei katika mpangilio wa kueleweka jua siku hiyo sio yeye anaongoza magari hapo.

Nafikiri wahusika wanalitambua hilo ndio maana mara nyingi yeye ndiye hupangwa kwenye makutano hayo.

Kazi nzuri.
 
Kuna yule dogo mwingine mweupe huwa anasimama njia panda kawe au pale mataa tangi bovu jamaa anajua kazi yake na anaenjoy sana, kuna muda akiongoza magari hadi akakata viuno hata akikukamata unajua kweli nimefanya kosa na ni muelewa pia hana zile za kufosi kuandika cheti anakupa elimu tena kwa ucheshi sio anakunja sura kama maboya wengine.
 
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake apewe, Huyu Baba anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya Juu Sana.

Nimekua napita hili eneo kila siku asubuhi na jioni kwenda kwenye mihangaiko yango, Ukiona siku ambayo Foleni haisogei katika mpangilio wa kueleweka Jua siku hiyo sio yeye anaongoza magari hapo.

nafikiri wahusika wanalitambua hilo ndio maana mara nyingi yeye ndiye hupangwa kwenye makutano hayo.

kazi nzuri.
Mkuu kwanini unaipenda siku ya ijumaa sana hua najiuliza au ww ni jini???[emoji1][emoji1]
 
kuna yule dogo mwingine mweupe huwa anasimama njia panda kawe au pale mataa tangi bovu jamaa anajua kazi yake na anaenjoy sana, kuna muda akiongoza magari hadi akakata viuno hata akikukamata unajua kweli nimefanya kosa na ni muelewa pia hana zile za kufosi kuandika cheti anakupa elimu tena kwa ucheshi sio anakunja sura kama maboya wengine
Hahaaa Dogo Ashraf, yule ni rafiki wa kila dereva anayepita njia hiyo aisee hanaga mbishe za kuforce vyeti na hiyo ndiyo inafanya watu wengi wampe tu hela bila kuwaomba.

Halafu kuna boya humu aliwahi kuja muanzishia uzi kuwa eti yule dogo naye anapokeaga sana rushwa sema watu walimshukia mtoa mada kama mwewe, maana yule dogo watu wengi wanamjua vile yuko peace sema kuna watu wanataka kumchafua tu kwa vile wameona anapendwa na madereva wengi.
 
Hahaaa Dogo Ashraf, yule ni rafiki wa kila dereva anayepita njia hiyo aisee hanaga mbishe za kuforce vyeti na hiyo ndiyo inafanya watu wengi wampe tu hela bila kuwaomba.

Halafu kuna boya humu aliwahi kuja muanzishia uzi kuwa eti yule dogo naye anapokeaga sana rushwa sema watu walimshukia mtoa mada kama mwewe, maana yule dogo watu wengi wanamjua vile yuko peace sema kuna watu wanataka kumchafua tu kwa vile wameona anapendwa na madereva wengi.
yes huyo huyo chalii, yuko poa sana
 
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake apewe, huyu Baba anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu sana.

Nimekua napita hili eneo kila siku asubuhi na jioni kwenda kwenye mihangaiko yangu, ukiona siku ambayofFoleni haisogei katika mpangilio wa kueleweka jua siku hiyo sio yeye anaongoza magari hapo.

Nafikiri wahusika wanalitambua hilo ndio maana mara nyingi yeye ndiye hupangwa kwenye makutano hayo.

Kazi nzuri.
Niruhusu nikuanzishie vikao vya kamati ya maandalizi, ahadi yangu naanza na laki tano na katoni ya konyagi.
Nasubiri ruhusa ya kuanzisha vikao vya kamati, Vivian an African Queen.
 
Pale wanapitapita wenye nchi ni lazima asimame vizuri kwenye mstari wa kazi.
 
Niruhusu nikuanzishie vikao vya kamati ya maandalizi, ahadi yangu naanza na laki tano na katoni ya konyagi.
Nasubiri ruhusa ya kuanzisha vikao vya kamati, Vivian an African Queen.
Vikao vya nini tena? Nilishaachika mwenzio
 
Back
Top Bottom