Ndugu yangu kapata ajali ya gari akiwa yeye peke yake pasi na kusababisha madhara kwa mtu yeyote, lakin traffic wamekuja na kutaka chochote wakidai hii n kesi.
Naomba msaada kwa anaejua kuhusu hii issue ukwel ukoje?
Natanguliza shukran.
Sina uhakika lakini kuna vifungu ambavyo anaweza kukubana navyo eg driving a defective vehicle. Akikuta umepata ajali ataku-pin kwa kukutafutia ubovu wa chombo. Lakini kuanguka na chombo is not an offence!
Ndugu yangu kapata ajali ya gari akiwa yeye peke yake pasi na kusababisha madhara kwa mtu yeyote, lakin traffic wamekuja na kutaka chochote wakidai hii n kesi.
Naomba msaada kwa anaejua kuhusu hii issue ukwel ukoje?
Natanguliza shukran.
well saidyes, ni traffic offence kesi anakwenda mahakamani akaikutwa na kosa analipa fine kama amabavyo angelipa kwenye notification.
Infact, Traffic akikupa notification kisheria watakiwa ukaipinge kwa mahakama kabala hujalipa, ila kwa sababu ya muda na mlongo wengi wetu huishia kulipa tu