KERO Trafiki Katushusha abiria kutoka kwenye Daladala pasipo kufuata utaratibu na kutuacha njiani

KERO Trafiki Katushusha abiria kutoka kwenye Daladala pasipo kufuata utaratibu na kutuacha njiani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Trafiki ametushusha Abiria wote kwenye daladala, hajatupa usafiri mwingine kisa gari inadaiwa na Konda kamwambia “Hii trip ya kwanza, nitakuungia baadaye”

Huyu Askari namba zake za kifuani ni 3250, namba zake za mwanzoni sijaziona vizuri.

Katushusha abiria kutoka kwenye Daladala pasipo kufuata utaratibu na kutuacha njiani bila kututafutia usafiri mwingine, hii imetokea Kituo cha Mombasa, Dar es Salaam, Asubuhi hii Saa 01.24.

Anadai kwamba yeye yupo kwenye kazi yake na hakuna taratibu aliyovunja, sababu ya kutushusha abiria ni kwamba gari inadaiwa Sh. 37,000.

Hii imetokea kisa konda amemwambia nitakuungia baadae ndiyo kwanza trip ya kwanza hii.
 
Naomba niunganishe basi kwa gari za laki saba public transport ni shidaa hapa mjini jamani..
Dah rafiki basi najua zilipo ,na Mimi nilisikia watu wa Dar wanasema hivyo ngoja waje watoe miongozo ,Mimi nipo kijijini yangu tu bila hiyo Saba kuizidisha Mara kumi bado sijakuachia kaka .
Ila ngoja nifanye mawasiliano na watu hao nitakurejea rafiki .
Huu ni mwaka wa kufosi lazima uwe na ndinga kaka
 
Polis mmoja amewashindaje abiria wote hao. Mliambiwa umoja ni nguvu. Tatizo lenu mnakiwa wabinafsi kama nyumbu. Na bado mtanyanyaswa sana na Hawa Form four failures.
 
Trafiki ametushusha Abiria wote kwenye daladala, hajatupa usafiri mwingine kisa gari inadaiwa na Konda kamwambia “Hii trip ya kwanza, nitakuungia baadaye”

Huyu Askari namba zake za kifuani ni 3250, namba zake za mwanzoni sijaziona vizuri.

Katushusha abiria kutoka kwenye Daladala pasipo kufuata utaratibu na kutuacha njiani bila kututafutia usafiri mwingine, hii imetokea Kituo cha Mombasa, Dar es Salaam, Asubuhi hii Saa 01.24.


Anadai kwamba yeye yupo kwenye kazi yake na hakuna taratibu aliyo vunja, sababu ya kutushusha abiria ni kwamba gari inadaiwa Sh. 37,000.

Hii imetokea kisa konda amemwambia nitakuungia baadae ndiyo kwanza trip ya kwanza hii.
Kwa hiyo mpaka sasa hujaondoka hapo unasubiri konda alipe faini ndio muendelee na safari?
 
Trafiki ametushusha Abiria wote kwenye daladala, hajatupa usafiri mwingine kisa gari inadaiwa na Konda kamwambia “Hii trip ya kwanza, nitakuungia baadaye”

Huyu Askari namba zake za kifuani ni 3250, namba zake za mwanzoni sijaziona vizuri.

Katushusha abiria kutoka kwenye Daladala pasipo kufuata utaratibu na kutuacha njiani bila kututafutia usafiri mwingine, hii imetokea Kituo cha Mombasa, Dar es Salaam, Asubuhi hii Saa 01.24.


Anadai kwamba yeye yupo kwenye kazi yake na hakuna taratibu aliyo vunja, sababu ya kutushusha abiria ni kwamba gari inadaiwa Sh. 37,000.

Hii imetokea kisa konda amemwambia nitakuungia baadae ndiyo kwanza trip ya kwanza hii.
Polen sana.Tafuta usafir endelea na safar !
 
Trafiki anawezaje kukushusha na wewe ukashuka bwashee wewe una mkataba na hiyo gari sio Trafiki kama wao wameona pana shida ni swala la gari ingine ije wewe unatoka huku unaenda kwenye hiyo ingine mimi niliwahi panda kidala hapo Chuga akaja Trafik wao wanadai ni Pili Pili balaa nikamwambia mimi sikshuki kosa ni la dereva sio langu natakiwa nifike nakokwenda wakaitana pale weengi wakabaki kujifyonza tu na kuamuru tuendelee na safari yetu.
 
Hamjarudishiwa hata nauli zenu? Jamaa katili sana huyo
 
Trafiki anawezaje kukushusha na wewe ukashuka bwashee wewe una mkataba na hiyo gari sio Trafiki kama wao wameona pana shida ni swala la gari ingine ije wewe unatoka huku unaenda kwenye hiyo ingine mimi niliwahi panda kidala hapo Chuga akaja Trafik wao wanadai ni Pili Pili balaa nikamwambia mimi sikshuki kosa ni la dereva sio langu natakiwa nifike nakokwenda wakaitana pale weengi wakabaki kujifyonza tu na kuamuru tuendelee na safari yetu.
Wangepeleka gari kituoni ungefanyaje?
 
Trafiki ametushusha Abiria wote kwenye daladala, hajatupa usafiri mwingine kisa gari inadaiwa na Konda kamwambia “Hii trip ya kwanza, nitakuungia baadaye”

Huyu Askari namba zake za kifuani ni 3250, namba zake za mwanzoni sijaziona vizuri.

Katushusha abiria kutoka kwenye Daladala pasipo kufuata utaratibu na kutuacha njiani bila kututafutia usafiri mwingine, hii imetokea Kituo cha Mombasa, Dar es Salaam, Asubuhi hii Saa 01.24.

Anadai kwamba yeye yupo kwenye kazi yake na hakuna taratibu aliyovunja, sababu ya kutushusha abiria ni kwamba gari inadaiwa Sh. 37,000.

Hii imetokea kisa konda amemwambia nitakuungia baadae ndiyo kwanza trip ya kwanza hii.
Kwanini msingepiga?
 
Mulishalipa nauli na kupewa tiketi zinazoendana na daladala mliyopanda?

Kama ni hivyo askari angetakiwa kuacha gari liwafikisheni safari zenu kisha lirudi kituoni; au apange na konda awarejeshee pesa yenu au kuwatafutia usafiri mwingine.
 
Nyie abiria nao midebwedo sana.
 
Back
Top Bottom