Trafiki Kigamboni mbona wengi kiasi hiki barabarani

Trafiki Kigamboni mbona wengi kiasi hiki barabarani

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kwa wakazi Kigamboni kuna jambo kidogo linanipa shida barabara za Kigamboni mbona zina askari wa barabarani wengi toka feri mpaka kufika Kongowe unakutwa ushasimamishwa mara 4 daaah hii ni zaidi hata ya mikoani najiuliza huku kuna wavunja sheria wengi au.
 
Ombi ni kwanini tuna trafiki wengi lakini ajali zikitokea hawasogei kwenye ajali mpaka watafutwe, wapewe chochote kitu ndio wapime.

Tunge ends na teknolojia hakuna haja ya kujaza trafiki wengi njiani wakati Doria za usiku hakuna.
 
Wafate waulize


Nyie Nun wavaa batiki nyeupe kwa nini mpo wengi kisha tuletee mrejesho maana wengine hata hatujui
 
Speed 50, ukizidisha jiandae kufanya tu ule utaratibu wao
 
Back
Top Bottom