Trafiki kulazimisha Daladala ziingie kituo cha Simu 2000 ni kuwapotezea muda Abiria

Trafiki kulazimisha Daladala ziingie kituo cha Simu 2000 ni kuwapotezea muda Abiria

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kuna utaratibu unafanywa na Jeshi la Polisi siku za hivi karibuni kwa kulazimisha Daladala hasa zinazoelekea Mbezi ya Chini, Makumbusho, Kawe, Tegeta kuwa lazima ziingie Kituo cha Daladala cha Mawasiliano (Simu 2000) unakera sana.

Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.

Kama Serikali inakosa mapato ya Ushuru iangalie namna nyingine sio hii ya kulazimisha Magari kupita Vituo ambavyo havina abiria wa magari hayo.
 
Kuna utaratibu unafanywa na Jeshi la Polisi siku za hivi karibuni kwa kulazimisha Daladala hasa zinazoelekea Mbezi ya Chini, Makumbusho, Kawe, Tegeta kuwa lazima ziingie Kituo cha Daladala cha Mawasiliano (Simu 2000) unakera sana.

Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.

Kama Serikali inakosa mapato ya Ushuru iangalie namna nyingine sio hii ya kulazimisha Magari kupita Vituo ambavyo havina abiria wa magari hayo.
Ni utaratibu wa kawaida kabisa

Gari inayo enda Kinyerezi kutoke mnazi m1 au muimbili na kuna zile za Bonyokwa lazima iingie Segerea kwanza

Gari inayotenda Makumbusho, Kawe kutokea popote lazima iingie mawasiliano

Gari zinazo enda bunju kitokea Mbezi, Mawasiliano, Makumbusho, Kawe na Morocco zinatakiwa kuingia nyuki kwanza ndio ziende Bunju, ila hii stand ya nyuki ni ndogo na junction ya kuingia nyuki ni single way na ni ndogo kulinga na wingi wa magari na ndipo njia 4 zinapoishia

Gari zote zinazo enda gongola mboto au zinazoenda kisarawe na chanika lazima ziingie kigogo sokoni

Gari zinazoenda Mbezi au kutoka Mbezi kupitia Maramba mawili kwenda popote ni lazima ziingie Kinyerezi stand

Gari zote zinazoelekea Kibaha, Mlandizi, Chalinze na popote Tanzania mpaka mabasi ya mikoani ni lazima ziingie stand mpya ya Kibaha ndio ziendelee na safari

So hiyo ishu ya mawasiliano/Simu2000, kuepuka huo usumbufu wa kuchelewa, wewe kama abiria ndio ujitahidi kuwai ili hata ukilazimika kuingia huko usichelewe[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Kuna utaratibu unafanywa na Jeshi la Polisi siku za hivi karibuni kwa kulazimisha Daladala hasa zinazoelekea Mbezi ya Chini, Makumbusho, Kawe, Tegeta kuwa lazima ziingie Kituo cha Daladala cha Mawasiliano (Simu 2000) unakera sana.

Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.

Kama Serikali inakosa mapato ya Ushuru iangalie namna nyingine sio hii ya kulazimisha Magari kupita Vituo ambavyo havina abiria wa magari hayo.
Sasa wale abiria wanaohitaji kwenda mbezi kama wewe tokea hapo simu 2000 watapata wapi usafiri?
 
Na pia kuna abiria wanaotokea hapo kwenda maeneo mengine ambao wanahitaji huduma hiyo........

Wewe kama abiria utajisikiaje kuona magari yanapita juu kwa juu na hayaingii kituoni hali ya kuwa unahitaji huduma.....???

Tujitahidi kuwafikiria na wengine kwenye mambo na huo ndio ubinadamu wenyewe
 
Zipi gari ambazo zinaishia simu 2000 na kuanzia hapo hapo watapanda hizo,hizi nyingine ni kupotezea muda watu kulazimisha kuingia mle ndani.
Sasa wasingeingia kama ambavyo wewe hutaki kuingia ingekuwaje?, kumbuka hata wao wanasafari ya kurudi walipotoka, wangegeuzia tu juu kwa juu nje ya kituo ingekuwaje?
 
Watanzania wengi hawazijui haki zao ndo mana mnaendeshwa kama makondoo au mang'onbe... jiulizeni kwanini mataifa yaliyoendelea kijana/vijana wengi kama amesoma mpaka elimu ya juu, basi ana shahada ya sheria. Unadhani upuuzi kama huo unashindwa kumfikisha/kuwafikisha/kuwapandisha hawa mazwazwa kizimbani?!

Muda ni rasilimali na matokeo yake ni matamu kama ukizingatiwa, kuheshimika na kutumika vyema. Wao wanajua wabongo wengi ni mazwazwa ndomana wanawafanya watakavyo.
 
Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.
Kwenye upande wa vituo vya bus na daladala nchi hii kuna vituko sana. Sijui huwa wanavianzisha kwa lengo gani?
Ni sawa na morogoro kuhamusha stand ya daladala mjin kupeleka mafiga kutoka. Ni usumbufu sana kwa mtu anaeenda nanenane,kihonda nk. Wanaongezea abiria gharama
 
Kuna utaratibu unafanywa na Jeshi la Polisi siku za hivi karibuni kwa kulazimisha Daladala hasa zinazoelekea Mbezi ya Chini, Makumbusho, Kawe, Tegeta kuwa lazima ziingie Kituo cha Daladala cha Mawasiliano (Simu 2000) unakera sana.

Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.

Kama Serikali inakosa mapato ya Ushuru iangalie namna nyingine sio hii ya kulazimisha Magari kupita Vituo ambavyo havina abiria wa magari hayo.
wanalazimisha maana hamna anayeingia huko
 
Back
Top Bottom