BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kuna utaratibu unafanywa na Jeshi la Polisi siku za hivi karibuni kwa kulazimisha Daladala hasa zinazoelekea Mbezi ya Chini, Makumbusho, Kawe, Tegeta kuwa lazima ziingie Kituo cha Daladala cha Mawasiliano (Simu 2000) unakera sana.
Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.
Kama Serikali inakosa mapato ya Ushuru iangalie namna nyingine sio hii ya kulazimisha Magari kupita Vituo ambavyo havina abiria wa magari hayo.
Ukiangalia hakuna hata jambo la msingi zaidi ya kupoteza muda wa Abiria tu. Daladala zinaingia na kutoka bila kuchukua wala kushusha Abiria yeyote.
Kama Serikali inakosa mapato ya Ushuru iangalie namna nyingine sio hii ya kulazimisha Magari kupita Vituo ambavyo havina abiria wa magari hayo.