greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Katika Makutano ya Morocco ambapo Barabara za Ally H.Mwinyi,Mwai Kibaki na Bagamoyo zinapo kutana na Makutano ya Mwenge.
Inapofika mida ya jioni kuanzia saa 10, Trafiki huwa wana tabia za kuruhusu gari za upande mmoja tu (kutoka posts kwenda mwenge) kwa muda hata wa dakika 40.
Sasa hii ni kero kweli kweli, ina Uongozi wa Manispaa haulijui hili suala.
Inapofika mida ya jioni kuanzia saa 10, Trafiki huwa wana tabia za kuruhusu gari za upande mmoja tu (kutoka posts kwenda mwenge) kwa muda hata wa dakika 40.
Sasa hii ni kero kweli kweli, ina Uongozi wa Manispaa haulijui hili suala.