lucas meshack
Member
- Jul 21, 2015
- 14
- 8
MDAU
Traffick Mkoa wa Pwani mnalitia aibu Jeshi la Polisi, mnajipanga barabarani kila kituo cha daladala mnachukua buku (1,000) za madereva wa daladala.
Mnakaa kituo cha Kiluvya madukani, Bwawani, Gogoni, Kibamba shule, magari saba na kituo cha Mbezi Mwisho. Vituo vyote hivyo makondakta wanatoa buku buku.
Hata kama mliruhusiwa kuchukua pesa ya kubrashia viatu lakini siyo kwa utaratibu huo kwa sababu mnatuchelewesha sisi abiria kuwahi kazini.
Tena traffick wengine wanachukua buku hadharani, wengine wanajifanya eti wanakagua gari wakati huo kondakta anamfinyia Kwa nje hilo buku.
IGP, Wambura zungumza na vijana wako wanalipaka matope Jeshi la Polisi
Traffick Mkoa wa Pwani mnalitia aibu Jeshi la Polisi, mnajipanga barabarani kila kituo cha daladala mnachukua buku (1,000) za madereva wa daladala.
Mnakaa kituo cha Kiluvya madukani, Bwawani, Gogoni, Kibamba shule, magari saba na kituo cha Mbezi Mwisho. Vituo vyote hivyo makondakta wanatoa buku buku.
Hata kama mliruhusiwa kuchukua pesa ya kubrashia viatu lakini siyo kwa utaratibu huo kwa sababu mnatuchelewesha sisi abiria kuwahi kazini.
Tena traffick wengine wanachukua buku hadharani, wengine wanajifanya eti wanakagua gari wakati huo kondakta anamfinyia Kwa nje hilo buku.
IGP, Wambura zungumza na vijana wako wanalipaka matope Jeshi la Polisi