Trafiki wahamishiwe TRA

Trafiki wahamishiwe TRA

Hao viumbe faida yao barabarani ni ndogo sana ukilinganisha na usumbufu wao kwa madereva magari.

Binafsi huwa sipendi kabisa kuwaona barabarani kutokana na kuendekeza kwao njaa, na pia kupenda kwao kuwalipisha watu faini za kipuuzi ili tu kutafuta makusanyo ya kuendeshea serikali iliyoshindwa kutafuta vyanzo sahihi vya mapato.
 
Ni matokeo ya sheria mbovu zinazutungwa bungeni na wabunge wetu.
Nchi masikini ukiweka sheria kali sana lazima uzalishe rushwa
 
Hao viumbe faida yao barabarani ni ndogo sana ukilinganisha na usumbufu wao kwa madereva magari. Binafsi huwa sipendi kabisa kuwaona barabarani nikiwa naendesha chombo cha moto, hususani gari.
Wahamie TRA tu
 
Hao viumbe faida yao barabarani ni ndogo sana ukilinganisha na usumbufu wao kwa madereva magari.

Binafsi huwa sipendi kabisa kuwaona barabarani kutokana na kuendekeza kwao njaa, na pia kupenda kwao kuwalipisha watu faini za kipuuzi ili tu kutafuta makusanyo ya kuendeshea serikali iliyoshindwa kutafuta vyanzo sahihi vya mapato.
Kweli kabisa, ila trafiki wao wana faida napo barabarani, ndani ya dk mbili za hii clip jamaa wameingiza zaidi 40k, kutoka kwa makonda wa daladala tu, na bado kuna wengine wamewekwa pending wakitikiswa watoe pesa zaidi na bado wanaweza kutuotea mimi na wewe ambaoubsio wadau wao! Wenzetu daladala wana flat rate ya sh3000 nadhan afanye kosa au asifanye.
 
Usiombe traffic mwanamke akukalie rohoni ,sijamsahau mmoja alikuwa mja mzito O Bay wakati Haji akiwa RTO Kino ,alinifanya nikaacha biashara ya daladala
 
Back
Top Bottom