joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hii imekuja kipindi ambacho waganda wameshitushwa na habari ya China kuwanyima mkopo Kenya wa kufikisha reli ya SGR hadi Malaba. Kutokana na hali hiyo, Uganda haiwezi tena kupata mkopo wa kujenga reli ya kuunganisha na Kenya, kwahiyo njia pekee ya usafiri wa reli ya kuaminika ni kupitia Dar.
Serikali ya Tanzania sio tu inajenga reli mpya ya SGR, bali pia inakarabati reli ya zamani na kununua reli maalumu zenye uwezo wa kubeba train na kuzivusha hadi Port bell Uganda ili ziendelee na safari, pia Tanzania inanunua meli kubwa na yakisasa ya abiria itakayofanya safari zake kati ya Uganda na Tanzania ili kupunguza gharama za usafiri.
Hahahahaha, Hahahahaha, chungu kuweza.Ata mfanyeje hamtawai shawishi wa Ug waitumie port ya Dar.. Mombasa will remain their preferred port hadi wewe na kizazi yako wakufe.. Kwanza tumewapea dry port Naivasha Sasa time seal kabisa
Hahahahaha, Hahahahaha, chungu kuweza.
Acha Maneno weka muziki "Hapa kazi Tu"Hamuwezi make.. Kenya imeoa uganda
Wewe umesahau kuwa Kenya ndio nchi pekee inayo reli iliyofika Kampala na 90% ya import ya Uganda inapitia aidha through hiyo reli au barabara ya Kenya? Hiyo reli inatumika hadi sasa. Chuki yako haitakusaidia kubadilisha ukweli kwamba U.G wanaimport 90% ya import zao through KE.
Hii imekuja kipindi ambacho waganda wameshitushwa na habari ya China kuwanyima mkopo Kenya wa kufikisha reli ya SGR hadi Malaba. Kutokana na hali hiyo, Uganda haiwezi tena kupata mkopo wa kujenga reli ya kuunganisha na Kenya, kwahiyo njia pekee ya usafiri wa reli ya kuaminika ni kupitia Dar.
Serikali ya Tanzania sio tu inajenga reli mpya ya SGR, bali pia inakarabati reli ya zamani na kununua reli maalumu zenye uwezo wa kubeba train na kuzivusha hadi Port bell Uganda ili ziendelee na safari, pia Tanzania inanunua meli kubwa na yakisasa ya abiria itakayofanya safari zake kati ya Uganda na Tanzania ili kupunguza gharama za usafiri.
Hahahahaha, mizigo ya Uganda toka Mombasa karibu yote hutumia barabara, reli yenu ya RVR ni kama haipo. Any way, siku za nyuma, 30% ya Mizigo ya Uganda ilikua inapitia Dar, baadae ilishuka hadi 5%. Lengo letu ni kurudisha ile 30% tuliyopoteza na kuongeza hadi 50%.Wewe umesahau kuwa Kenya ndio nchi pekee inayo reli iliyofika Kampala na 90% ya import ya Uganda inapitia aidha through hiyo reli au barabara ya Kenya? Hiyo reli inatumika hadi sasa. Chuki yako haitakusaidia kubadilisha ukweli kwamba U.G wanaimport 90% ya import zao through KE.
Its cheaper and easier to transport goods over the lake to their final destiation(s) in ugandaWewe umesahau kuwa Kenya ndio nchi pekee inayo reli iliyofika Kampala na 90% ya import ya Uganda inapitia aidha through hiyo reli au barabara ya Kenya? Hiyo reli inatumika hadi sasa. Chuki yako haitakusaidia kubadilisha ukweli kwamba U.G wanaimport 90% ya import zao through KE.
Reli yetu bado inafanya kazi. Mbona umeiuwa kifo cha mende na bado iko uhai?Hahahahaha, mizigo ya Uganda toka Mombasa karibu yote hutumia barabara, reli yenu ya RVR ni kama haipo. Any way, siku za nyuma, 30% ya Mizigo ya Uganda ilikua inapitia Dar, baadae ilishuka hadi 5%. Lengo letu ni kurudisha ile 30% tuliyopoteza na kuongeza hadi 50%.
Kutokana na Kenya kufikisha reli ya SGR Malaba, inatuma matumaini sana kufikisha 50% kwasababu tutafikisha SGR, na hizo meli zenye uwezo wa kubeba trains, zitaunganisha reli ya Tanzania na Uganda.
This is business, let us give business communities varieties of options, and it is up to them to choose. "Hapa kazi Tu".
Remember distance of travel also matters. Dar to Kampala is far compared to Mombasa to Kampala.Its cheaper and easier to transport goods over the lake to their final destiation(s) in uganda
Yes it matters but its not the only factor. Thats why total choze the oilpipeline to go through the longer Tz routeRemember distance of travel also matters. Dar to Kampala is far compared to Mombasa to Kampala.
Distance matters only, and only if cost per kilometer is the same, but it seems that the cost per Kilometer will be 40% cheaper through Dar route than Mombasa route.Remember distance of travel also matters. Dar to Kampala is far compared to Mombasa to Kampala.