INAUZWA Transcend External Hard Drive GB 1000 inauzwa Tshs 80,000

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Nauza External Hard Drive aina ya Transcend yenye ukubwa wa GB 1000

Haina changamoto ya aina yoyote na ukiinunua ndio utaamini nilikua nasema kweli au natania.


MREJESHO
Imeshauzwa

 
Si wabangaizaji tu haikua kwenye budget ndio maana nakwambia hiyo bei
 
Habari

Nauza External Hard Drive yenye ukubwa wa GB 1000 (1TB) ambayo nimeitumia kwa muda wa mwezi mmoja na nusu tu.

Bado ni mpya kabisa haina mchubuko wa aina yoyote wala tatizo lolote na ukiiona ndo utaamini kama namaanisha au natania.

Bei ni Tshs 95,000 maongezi kidogo yapo

Karibu tufanye bishara kwa wateja walio serious

Napatikana Mbezi ya Kimara jirani kabisa stand ya Magufuli Terminal

Mawasaliano yangu ni 0764368588

 
Habari

Nauza External Hard Drive yenye ukubwa wa GB 1000 (1TB) ambayo nimeitumia kwa muda wa mwezi mmoja na nusu tu.

Bado ni mpya kabisa haina mchubuko wa aina yoyote wala tatizo lolote na ukiiona ndo utaamini kama namaanisha au natania.

Bei ni Tshs 85,000

Karibu tufanye bishara kwa wateja walio serious

Napatikana Mbezi ya Kimara jirani kabisa stand ya Magufuli Terminal

Mawasaliano yangu ni 0764368588
 

Attachments

  • IMG_20231018_090105_693.jpg
    669.9 KB · Views: 2
Kazi yake ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…