king mjuni
Member
- Oct 11, 2014
- 93
- 15
Sasa na mkopo watatuhamishia kabisa au
Apo umenena mr
Halafu wengine tunahamia priority programs sa sijui watatuongezea mkopo au vipi
Waulize wale tuliokuwa tushalipa 30000 ndio tushapata au nasi tuna hati hati
Habari wakuu,
Daa! Nchi yetu ni noma hawa jamaa wa TCU vp mbona hawatoi afu wanapiga calender kwa sasa npo TCU afu naambiwa leo jion cjui kama watatoa tumuombe MUNGU!
Mimi nilipitia chuo moja kwa moja wakanipa barua ya kunikubali wakanambia niipeleke tcu nilipofika mapokezi akanambia nikalipie bank 30000 kwanza ndio nkalipia akaziambatanisha zile form akapanda nazo juu