Transfer TCU leo jioni

na je kuhusu transfer watu wa art je watayatoa majina leoleo tu au ndio imetoka iyo jamani mliopo tcu ulizien vizur nasi mtujuze
 
Uwe na one au two kama huna usi hangaike daaa tcu noma mtu alipangwa law sahizi anaenda medicn
 
JUSTINE JAPHET
Hata hivyo mbona link yenyewe haionekani wadau?
 
Jamani mwenye majina ya related to health naomba atuwekee hapa au aniangalizie jina la
JUSTINE JAPHET
 
Dah mie nliomba medical programs pia......ndo bas tn IT inanihusu
 
wadau naona mnazungumzia science kwa upande wa afya 2 bt koz nyngne vp au ndo nawenyew ni art
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…