FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hilo transformer kila siku TANESCO wanapigiwa simu, wakija wanataka pesa kulitengeneza fuse yake, wanaitegesha tegesha kihuni huni tu ili ifanye kazi kidogo, ikifika kesho yake inazima tena, ukiwapigia simu wanakuja ila wewe uliyewapigia inabidi uwape pesa watengeneze, wanachokonoa chokonoa fuse inafanya kazi, kesho inazima tena.., mchezo ndio huo kila siku.
Jana wamepewa pesa wakatengeneza, leo asubuhi likazima tena, toka asubuhi watu wamegoma kupiga simu, hakuna anaetaka tena kutoa pesa yake. Imagine Kariakoo hii panakosa umeme kila siku, watu wanaingia hasara ya mamilioni kwa sababu ya fuse, kweli?!!
Jana wamepewa pesa wakatengeneza, leo asubuhi likazima tena, toka asubuhi watu wamegoma kupiga simu, hakuna anaetaka tena kutoa pesa yake. Imagine Kariakoo hii panakosa umeme kila siku, watu wanaingia hasara ya mamilioni kwa sababu ya fuse, kweli?!!