Transformer la umeme mtaa wa Livingstone na Lindi lageuka kitega uchumi kwa wafanyakazi wa TANESCO

Transformer la umeme mtaa wa Livingstone na Lindi lageuka kitega uchumi kwa wafanyakazi wa TANESCO

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Hilo transformer kila siku TANESCO wanapigiwa simu, wakija wanataka pesa kulitengeneza fuse yake, wanaitegesha tegesha kihuni huni tu ili ifanye kazi kidogo, ikifika kesho yake inazima tena, ukiwapigia simu wanakuja ila wewe uliyewapigia inabidi uwape pesa watengeneze, wanachokonoa chokonoa fuse inafanya kazi, kesho inazima tena.., mchezo ndio huo kila siku.

Jana wamepewa pesa wakatengeneza, leo asubuhi likazima tena, toka asubuhi watu wamegoma kupiga simu, hakuna anaetaka tena kutoa pesa yake. Imagine Kariakoo hii panakosa umeme kila siku, watu wanaingia hasara ya mamilioni kwa sababu ya fuse, kweli?!!
 
Meneja wa hilo eneo ajitafakari
Ni washenzy tu!! Wanatufanyia kusidi, 20k kwa mwezi ni karbu milioni wanachukua kwenye transformer hii tu, usipowapa hela wanaangalia tu halafu wanaondoka, hawatengenezi, washezny hawa!!!

Hadi sasa tupo gizani, kazi zinalala, hasara tupu!!
 
Meneja wa Tanesco unaehusika na hilo Transformer wewe ni Mshezny!! Na nitaendelea kukutukana hadi urudishe umeme , na hata mia hatutoi tena, tumechoka, mshezny wewe!!
 
Hii hali hadi lini, tutaishije hivi, biashara ni ngumu sana kwa kutumie jenereta, mafuta bei juu!! Hadi lini hii hali?!!!! Rudisheni umeme aisee, njoeni mtengeneze bhanaaa, yaani Kariakoo hii biashara zinakosa umeme kila siku sababu ya fuse?!!! Lets be serious!!!
 
Hilo transformer kila siku TANESCO wanapigiwa simu, wakija wanataka pesa kulitengeneza fuse yake, wanaitegesha tegesha kihuni huni tu ili ifanye kazi kidogo, ikifika kesho yake inazima tena, ukiwapigia simu wanakuja ila wewe uliyewapigia inabidi uwape pesa watengeneze, wanachokonoa chokonoa fuse inafanya kazi, kesho inazima tena.., mchezo ndio huo kila siku.

Jana wamepewa pesa wakatengeneza, leo asubuhi likazima tena, toka asubuhi watu wamegoma kupiga simu, hakuna anaetaka tena kutoa pesa yake. Imagine Kariakoo hii panakosa umeme kila siku, watu wanaingia hasara ya mamilioni kwa sababu ya fuse, kweli?!!
Mkuu mtaa huu upo wilaya gani?
 
Baada ya kupandisha uzi tu, transformer limetengenezwa haraka haraka, Shenzy kabisa!
 
Hiyo ndo michezo Yao niliendaga Morogoro maeneo ya mafiga wiki mbili nyuma.
wanapaita tank bovu Kuna transfoma pale Kila siku linakata fuse wananchi Awana raha kabisa Huduma ya umeme maeneo Yale ayaeleweki jamaa wanakuja tegesha dk 2 wakiondoka linakata kurudi Tena hapo kesho
 
Kuna Transformer ipo huku Tabora nayo ina tabia ya kukata fuse, mara Arrestor yaan shida tupu. Ukiwapigia simu wanakuja baada ya wiki moja. Ikawa ndo mchezo wao, sasa mimi nna biashara ya mashine eneo hilo so mi ndo nikawa naumia zaidi umeme ukikaa wiki haupo. Siku moja ikaunguza Arrestor wakaja baada ya siku 8 wakanambia niwe nawapa hela ili wawe wanawahi kuja kukarabati nikawajibu sawa. Nmeamua kununua mashine inayotumia mafuta ya Diesel umeme hata ukikata wiki sawa tu. Linchi la hovyo sana hili kilasiku najuta kuzaliwa Tz.
 
Kuna Transformer ipo huku Tabora nayo ina tabia ya kukata fuse, mara Arrestor yaan shida tupu. Ukiwapigia simu wanakuja baada ya wiki moja. Ikawa ndo mchezo wao, sasa mimi nna biashara ya mashine eneo hilo so mi ndo nikawa naumia zaidi umeme ukikaa wiki haupo. Siku moja ikaunguza Arrestor wakaja baada ya siku 8 wakanambia niwe nawapa hela ili wawe wanawahi kuja kukarabati nikawajibu sawa. Nmeamua kununua mashine inayotumia mafuta ya Diesel umeme hata ukikata wiki sawa tu. Linchi la hovyo sana hili kilasiku najuta kuzaliwa Tz.
Yaan ni washenzy hawa watu, wanachelewa kwa makusudi kabisa!
 
Tanesko wamepewa miezi sita kuwakomoa wananchiiii.
Wanavyodai.
Mwaka huu hadi tuseme
 
Back
Top Bottom