Jamani, mwenye ufahamu juu ya upatikanaji wa kazi ya kusafirisha/kuendesha gari ndogo na wastani kutoka kwa mawakala Dsm na kupeleka boda au kuvusha nje ya Tz, tafdhari naomba msaada huo...japo kuna mtu aliniambia si rahisi kupata kama simjui mtu. Kimsingi kazi hiyo naiweza sana tu, nina uzoefu, nina leseni valid, nina familia, driving ni moja ya interest na hobby yangu, hivyo nina uhakika wa kutumikia nafasi kwa mapenzi na kwa umakini (Life is all about struugling....regardless your status), naombeni msaada, maana si vema kutumia ujuzi wa driving pasipo kuingiza pesa kisa eti ni graduate...fanya tu kazi za ugraduate zitakukuta njiani!!