Transport officer /nipeni dili

Transport officer /nipeni dili

Lameckjr

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
133
Reaction score
247
Habari wakubwa wa kazi,

Mimi ni mbobezi wa taaluma ya usafirishaji, nikijikita zaidi katika usafirishaji wa aridhi (land transport) nikiwa na taaluma ya GPS tracking,
Nipeni mchongo wa kazi wakubwa.

Mtaa mgumu sana huu.
 
Habari wakubwa wa kazi
Mimi ni mbobezi wa taaluma ya usafirishaji, nikijikita zaidi katika usafirishaji wa aridhi (land transport) nikiwa na taaluma ya GPS tracking,
Nipeni mchongo wa kazi wakubwa
Mtaa mgumu sana huu,
 
Kwa uandishi huu wa CV mtu akikupa kazi ni mjinga wa kutupwa.

CV TU KUANDIKA HUJI SEMBUSE KAZI NDIO UTAWEZA MJINGA WEWE
 
Kwa uandishi huu wa CV mtu akikupa kazi ni mjinga wa kutupwa
CV TU KUANDIKA HUJI SEMBUSE KAZI NDIO UTAWEZA MJINGA WEWE
Jizungumzie wewe kwanini unamsemea huyo mtu!!!!
 
Jizungumzie wewe kwanini unamsemea huyo mtu!!!!
Kwa uandishi alioandika ni rahisi kukosa kazi moja kwa moja GPS tracking ni kisoftware kidogo tu hata wenye boda boda huwa wanakifunga kujua bodaboda iko wapi

Wafungaji wengi darasa la saba veta au form four failure SIO KITU KIKUBWA hicho ndio maana anatakiwa kuandika CV YAKE vizuri

watu wengi hukosa kazi sababu ya ujinga kama wa huyu

Nadhani tatizo elimu anaonyesha ana kielimu kidogo sana au cha hovyo
 
Kwa uandishi huu wa CV mtu akikupa kazi ni mjinga wa kutupwa
CV TU KUANDIKA HUJI SEMBUSE KAZI NDIO UTAWEZA MJINGA WEWE
Wabongo mnaujinga wa kutupwa mnaamini katika vyeti sana kuliko uwezo wa mtu katika utendaji kazi,
 
Kwa uandishi alioandika ni rahisi kukosa kazi moja kwa moja GPS tracking ni kisoftware kidogo tu hata wenye boda boda huwa wanakifunga kujua bodaboda iko wapi

Wafungaji wengi darasa la saba veta au form four failure SIO KITU KIKUBWA hicho ndio maana anatakiwa kuandika CV YAKE vizuri

watu wengi hukosa kazoi sababu ya ujinga kama wa huyu
Unamatatizo kwa hiyo wewe unadhani kuwa hiyo ndp cv yangu
Ulitaka nianike kila kitu, unajikuta much know sana, kama huwezi msaidia mtu si unavunga tu
 
Wabongo mnaujinga wa kutupwa mnaamini katika vyeti sana kuliko uwezo wa mtu katika utendaji kazi,
Huyu anamambo ya ajabu sana!!!!
Anajiona Bingwa wa kila kitu ,hajui hiii ni Dunia na sio kwetu
 
Wabongo mnaujinga wa kutupwa mnaamini katika vyeti sana kuliko uwezo wa mtu katika utendaji kazi,
Wewe ndio mjinga

Cheti kule vyuo ndiko kuna wathibitishaji wa uwezo wa mtu

Kazini sio sehemu ya kumpima mtu uwezo wa mtu asiye na vyeti akapimwe huko vyuoni na VETA

Chukulia mtu hajasoma udaktari kabisa wa operation halafu anakuja anakuambia mwajiri usiangalie vyeti mimi vyeti sina ila naweza kupasua kichwa cha mtu na kufanya operation yeyote!!! Huo ujinga kawadanganye wajinga wenzio

Au ohh mimi sijawahi somea popote ila nina uwezo wa kuendesha ndege nipe uone
 
Unamatatizo kwa hiyo wewe unadhani kuwa hiyo ndp cv yangu
Ulitaka nianike kila kitu, unajikuta much know sana, kama huwezi msaidia mtu si unavunga tu
Unaombaje kazi bila kuandika CV? umekuja kujaza ujinga humu jamii forums?
 
Unamatatizo kwa hiyo wewe unadhani kuwa hiyo ndp cv yangu
Ulitaka nianike kila kitu, unajikuta much know sana, kama huwezi msaidia mtu si unavunga tu
Utamsaidiaje mtu ambaye hata CV yake huna aweza kuwa kikongwe wa miaka 80 ambaye hata kuamka kuja kazini tu shida
 
Cheti kulke ndiko kuna wathibitishaji wa uwezo wa mtu

Kazini sio sehemu ya kumpima mtu uwezo wa mtu asiye na vyeti akapimwe huko vyuoni na VETA

Chukulia mtu hajasoma udaktari kabisa wa operation halafu anakuja anakuambia mwajiri usiangalie vyeti mimi vyeti sina ila naweza kupasua kichwa cha mtu na kufanya operation yeyote!!! Huo ujinga kawadanganye wajinga wenzio

Au ohh mimi sijawahi somea popote ila nina uwezo wa kuendesha ndege nipe uone
Kuna
Unaombaje kazi bila kuandika CV? umekuja kujaza ujinga humu jamii forums?
Kwani wewe ni kwako humu!!
 
Back
Top Bottom