davibby
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 318
- 245
Kampuni moja yenye brand nne sokoni. Kampuni hii yenye makao yake makuu Shenzhen China imejikita zaidi Africa kwenye biashara zaidi ya simu za mkononi.
Kampuni hii kwenye upande wa simu za batani ambazo hujulikana kama future phone ilifanikiwa sana kumiliki share kubwa sana kwa sababu simu zake zilikuwa za bei ya kawaida(affordable)kwa waafrika wengi ambao kipato chao ni cha chini ukilinganisha na makampuni mengine kama nokia samsung na nyinginezo.
Wachina hawa awali walikuwa na brand moja sokoni ya Tecno pekee na baadae wakatuletea Itel kama brand ya hali ya chin zaid ili mwenye kupati cha chini zaid aweze kununua simu kutoka brandi hii.
Wachina hawa wenye werevu wakaja na brand nyingine tena sokoni ya Infinix ili hali kuweza kulete ushindano Sokoni ili hali wazidikuliteka soko huku kampuni ni ile ile inayonufaika Wachina wawa wanajua kutuchezea akili kwel kwel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni hii kwenye upande wa simu za batani ambazo hujulikana kama future phone ilifanikiwa sana kumiliki share kubwa sana kwa sababu simu zake zilikuwa za bei ya kawaida(affordable)kwa waafrika wengi ambao kipato chao ni cha chini ukilinganisha na makampuni mengine kama nokia samsung na nyinginezo.
Wachina hawa awali walikuwa na brand moja sokoni ya Tecno pekee na baadae wakatuletea Itel kama brand ya hali ya chin zaid ili mwenye kupati cha chini zaid aweze kununua simu kutoka brandi hii.
Wachina hawa wenye werevu wakaja na brand nyingine tena sokoni ya Infinix ili hali kuweza kulete ushindano Sokoni ili hali wazidikuliteka soko huku kampuni ni ile ile inayonufaika Wachina wawa wanajua kutuchezea akili kwel kwel.
Sent using Jamii Forums mobile app