Fibanochi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 476
- 1,018
Habari wanajamvini, naona taratibu week end inaanza, back to the topic, naomba Leo tujuane watu tunaopenda kusafiri safiri, iwe nje au ndani ya mipaka ya nchi.
Najua kwa jamii yetu ya kitanzania ni aghalabu sana kuona mtu anasave au anatenga kiasi fulani cha pesa kwa ajili ya kusafiri au kutembea sehemu fln. Lkn kadri siku zinavyoenda naona hobby hii inazidi kushika kasi miongoni mwa jamii ya kitanzania.
Wacha nikwambie kusafiri ni raha, kunaufanya ubongo upate chakula chake 'maarifa mapya, mtu anaesafiri anajifunza mmb mengi sana kuanzia kubadirisha mtazamo wa mtu juu ya mmb mblmbl ya ulimwengu, kujifunza, n.k
Je wewe mkuu ushawahi safiri wapi nje au ndani ya nchi? Kuna adventure gani huwezi isahau? Na nini ulijifunza khs hy safari yako? Ni wapi uliwahi kwenda ungetamani urudi tena na kwanini? Ni sehemu gani usingependa urudi tena?
Ni chombo gani cha usafiri unapendelea kutumia?
Mimi binafsi nimeshasafiri sehemu kadhaa hapa nchini na nje ya nchi, kila safari kwangu huwaga mpya, huwa naenjoy kila moment napokuwa safarini iwe binafsi au kikazi...kwa sehemu ambazo nimeshafika kwa hapa Tz ni moja tu so far, huwaga hainichoshi kwenda ni Mwanza. Mwanza ni mji mzr kwangu mm, watu wake wakarimu sana km alivyoimba Remmy Ongala (&%#mwanza mji mzr, mwanzaaa), ya pili ni zenji......sehemu ambayo ilikuwa changamoto kwangu ni Katavi, aisee kule kama Congo , yani umbali kama wote vile! Unakaa kwenye gari mpk unajisahau, ila kuna kuku wa kienyeji wa kutosha....kwa nje ya Tz nimetembea sy nchi nyingi sana ila, kati ya miji niliyotembea nilipapenda sana NY, aisee hili jiji lina shangwe kama zooote vile, yani hakuna kulala hasa majira ya joto May to september , jiji muda wote lina vibe, yani maduka yanakesha na watu wanafanya shughuli zao kama saa sita mchana....
Najua kwa jamii yetu ya kitanzania ni aghalabu sana kuona mtu anasave au anatenga kiasi fulani cha pesa kwa ajili ya kusafiri au kutembea sehemu fln. Lkn kadri siku zinavyoenda naona hobby hii inazidi kushika kasi miongoni mwa jamii ya kitanzania.
Wacha nikwambie kusafiri ni raha, kunaufanya ubongo upate chakula chake 'maarifa mapya, mtu anaesafiri anajifunza mmb mengi sana kuanzia kubadirisha mtazamo wa mtu juu ya mmb mblmbl ya ulimwengu, kujifunza, n.k
Je wewe mkuu ushawahi safiri wapi nje au ndani ya nchi? Kuna adventure gani huwezi isahau? Na nini ulijifunza khs hy safari yako? Ni wapi uliwahi kwenda ungetamani urudi tena na kwanini? Ni sehemu gani usingependa urudi tena?
Ni chombo gani cha usafiri unapendelea kutumia?
Mimi binafsi nimeshasafiri sehemu kadhaa hapa nchini na nje ya nchi, kila safari kwangu huwaga mpya, huwa naenjoy kila moment napokuwa safarini iwe binafsi au kikazi...kwa sehemu ambazo nimeshafika kwa hapa Tz ni moja tu so far, huwaga hainichoshi kwenda ni Mwanza. Mwanza ni mji mzr kwangu mm, watu wake wakarimu sana km alivyoimba Remmy Ongala (&%#mwanza mji mzr, mwanzaaa), ya pili ni zenji......sehemu ambayo ilikuwa changamoto kwangu ni Katavi, aisee kule kama Congo , yani umbali kama wote vile! Unakaa kwenye gari mpk unajisahau, ila kuna kuku wa kienyeji wa kutosha....kwa nje ya Tz nimetembea sy nchi nyingi sana ila, kati ya miji niliyotembea nilipapenda sana NY, aisee hili jiji lina shangwe kama zooote vile, yani hakuna kulala hasa majira ya joto May to september , jiji muda wote lina vibe, yani maduka yanakesha na watu wanafanya shughuli zao kama saa sita mchana....