TRC inafanyaje kazi?

Pompopo

New Member
Joined
Dec 18, 2023
Posts
1
Reaction score
1
TRC inafanyaje kazi? Inakuwaje uwe na mzigo unasubiri week 4 na zaidi ili kuupata?

Je hili shirika halina uongozi au shida ni nini? Mzigo kutoka Moshi kutoka Dodoma unachukua muda gani kufika na hapo tunaambiwa linaendeshwa kwa kodi za wananchi.

Its a shame kama shirika la umma lilishindwa kujiendesha
 
TRC kama kuna kitu kipya pale ni reli ya SGR_TZ inayojengwa na waturuki na baadhi ya vituo vipya vilivyokamilika, vinginevyo akili na nguvukazi ni ile ile ya kizamani kama reli ya MGR_TZ.
 
Taasisi na mashirika ya umma watu wanafanya kazi kwa mazoea na ni magenge ya upigaji, hakuna kitu yanazalisha zaidi ya hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…