TRC inafanyaje kazi? Inakuwaje uwe na mzigo unasubiri week 4 na zaidi ili kuupata?
Je hili shirika halina uongozi au shida ni nini? Mzigo kutoka Moshi kutoka Dodoma unachukua muda gani kufika na hapo tunaambiwa linaendeshwa kwa kodi za wananchi.
Its a shame kama shirika la umma lilishindwa kujiendesha