Yellescabar
Senior Member
- Mar 19, 2017
- 115
- 253
Wadau habari, nilikuwa napenda kufahamu kuhusu trc salary scale kwa ngazi ya diploma inakuwa vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida tu kama mishahara ya serikali, Tsh 500,000+Wadau habari..nilikua napenda kufahamu kuhusu trc salary scale kwa ngazi ya diploma inakua vipi
3,570,000
Shukrani sana mkuuNi kawaida tu kama mishahara ya serikali, Tsh 500,000+
Ingawa kwasababu ya kazi nyingi, sometimes unakuwa kazini mpaka usiku unaweza kuwa unapata Over time
Nadhan apa kuna kitu akipo sawa3,570,000
Asante kakaTRC wana salary scale zao. Zinaenda TRCS1,TRCS2,TRCS3,TRCS4,TRCS5,TRCS6... Diploma nadhani ni level 4 ambayo kama 800-900 net
Ngoja waje kukupa muongozo...
Sawa kakaNgoja waje kukupa muongozo...
NdioDah Kam diploma ndio hvo bas degree mishahara mizur
Kama ngapi degreeDah Kam diploma ndio hvo bas degree mishahara mizur
Na trcs1 ni shingapiAsante kaka
Ni kama laki 3Na trcs1 ni shingapi
Ndio mshahara mzuri huu?Ni kama laki 3
Nani kasema mshahara mzuri?Ndio mshahara mzuri huu?
Kama unalipwa trcs1 means elimu yako ni ndogo sasa mtu unataka ulipwe vipi wakati elimu iko chiniNdio mshahara mzuri huu?
Saw sio mbaya kulingan na kiwango cha elimuNi kama laki 3
Hyo 500000 na hata hii zote wanakupga fix ndugu yangu dploma mshahara zaidi ya hzo zoot mbiliNadhan apa kuna kitu akipo sawa