The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hi Great thinker.
Nitumie wasaa huu kueakumbusha TRC Kuwa baada ya kushindwa kufanya majaribio Mei 2023. Kwa walichodai ni sababu Za misingi
Sasa ni mwezi wa Saba nao umeshagawa Kati, waliahidi wataanza majaribio. Nawakumbusha issue ya Bandari haijatusahaulisha hili tunasubiri ngonjera zenú tena.
Wakati huo Huo. Bunge mjiandae kujadili report ya CAG. Hilo hatujasahau pia.
Nitumie wasaa huu kueakumbusha TRC Kuwa baada ya kushindwa kufanya majaribio Mei 2023. Kwa walichodai ni sababu Za misingi
Sasa ni mwezi wa Saba nao umeshagawa Kati, waliahidi wataanza majaribio. Nawakumbusha issue ya Bandari haijatusahaulisha hili tunasubiri ngonjera zenú tena.
Wakati huo Huo. Bunge mjiandae kujadili report ya CAG. Hilo hatujasahau pia.